Asikuambie mtu swala la kupata kazi haijalishi umesoma chuo gani wala kozi gani ni MUNGU apangaye, nyota yako pia inahusika na juhudi binafsi.
NIMEONA UDOM GRADUATE wameajiriwa maeneo mengi gvt. Na private sector, huku UDSM wakilia njaa na wakati walikua wanaponda elimu ya UDOM NA KUA WAHITIMU WAKE HAWAAJIRIKI
binafsi nmemaliza UDOM 2012 nikapata job gvt.
2014 mwishoni huku chuo nlikua wa kawaida tu, nachemka kwenye Seminar, ila kweli kupata kazi ni bahati, leo waliokua wanancheka sijui hata presentation wako mtaani wana haso.
MUNGU awasaidie wafanikiwe plus wale wa udsm waliokua wanaponda UDOM.
NIMEONA UDOM GRADUATE wameajiriwa maeneo mengi gvt. Na private sector, huku UDSM wakilia njaa na wakati walikua wanaponda elimu ya UDOM NA KUA WAHITIMU WAKE HAWAAJIRIKI
binafsi nmemaliza UDOM 2012 nikapata job gvt.
2014 mwishoni huku chuo nlikua wa kawaida tu, nachemka kwenye Seminar, ila kweli kupata kazi ni bahati, leo waliokua wanancheka sijui hata presentation wako mtaani wana haso.
MUNGU awasaidie wafanikiwe plus wale wa udsm waliokua wanaponda UDOM.