General mex
Senior Member
- May 1, 2011
- 158
- 185
Kwa mujibu wa wanafunzi waliokosa mikopo ambao jana walikuwepo bodi ya mikopo kulalamika, jana waliamua kuandika barua kwa raisi kumwelezea hali halisi. Kwa mimi ninavyoona hii ni hatua nzuri waliyochukua wenzetu kwani inawezekana Jk hafahamu hali halisi. Jumatatu tumepanga kukutana pale wizara ya elimu na kama wakituzingua! Mi naona hatua nzuri ni kupeleka madai haya kwa raisi inaweza ikasaidia, mbona waliweza kuwachangia somalia? Kama hela zimeisha watuchangie na sisi twende vyuo. Nawasilisha.