Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,057
- 18,406
Nguvu zako tuu. Unakata miti unafyatua tofali bila cement, unachoma, unakata nyasi unajenga mwenyewe chumba na sebule unaezeka nyasi unakaa shambani. Ndo gharama ya chini. Ya juu haijulikani.Gharama ya chini shilingi ngapi?