STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,208
Kwahiyo umetumia miezi 36 kwenye ujenzi,Usiogope mkuu ujenzi ni mpango WA muda utakaoupangilia wewe (hapa hela za pembeni hazihusiki! Mm nimejenga nyumba for just 72.5m. Kwa miaka mitatu to! Ni mipango tu ya saraly yako Hakuna uchawi hapa! Jenga nyumba kwa percentage yako ya mshahara mm nilikuwa nikiweka 30%ya salary jenga kwa kiwango cha kipato chako! Si kujenga kwa kujifanananisha na Fulani, hata ukijenga miaka kumi Nani WA kukuuliza!
Na ambapo kila mwezi ulikuwa unatumia 2000000 ambayo ni asilimia 30% ya mshahara wako, hivyo mshahara wako utakuwa ni 7000000...
(sijui kama nipo sahihi)