Waliojenga mwaka 2021 tunaomba uzoefu wenu

Kwa kukadiria mpaka hatua hiyo inaweza kuwa imekula 60/70 mill inaweza kuongezeka au kupungua ila inategemea kwanza material alizotumia na eneo alikofanyia ujenzi.

Tanzania yapo maeneo nyumba kama hiyo mpaka inaisha unatumia 40mill.

Uko sahihi kabisa. Ilizidi kidogo. Hapo naongelea hadi milango, aluminium, taa na huo urembo urembo wa madirishani na nguzo, tiles n.k
 
Mkuu The Monk naomba msaada wapi naweza pata hiyo mikanda ya gypsum kwa ajili ya kuweka papi kwenye flash za milango kama ulivyo weka wewe

Msaada wako tafadhali
View attachment 2087185

Hiyo jamaa walijengea hapo hapo, walitengenezea kama urembo. Ilijumuisha madirisha kwa nje na nguzo mbili.

Sikuweka kabisa mikanda ya gypsum hata ile sehem inayounga dari na ukuta. Waliweka nyavu flani na rangi moja ndoo wanauza 180,000/- ukitizama ni kama kuna zege kwa juu kumbe gypsum.

IMG_20220118_223617_822.jpg


IMG_20220118_223555_334.jpg





IMG_20220118_223506_204.jpg
 
Habarini wakuu, mukihitaji ramani nzuri msisite kututafuta kwa 0715477041, pia mwaweza tembelea link hii kujionea baadhi ya kazi zetu

 
Heshima sana wakuu,

Tumshukuru Mungu mwingi wa rehema kwa kutupatia uhai mpaka sasa tunapoelekea kuukamilisha mwaka 2021. Najua kwamba wapo wengi walitamani.

kuanza ujenzi wa nyumba zao na ni ukweli usiopingika kwamba baadhi yao wameweza kuanza ujenzi, wapo walioishia katikati, wengine wamemaliza na huku wengine wakiwa hawajaanza kabisa.

Vilevile mwaka huu ume-trend zidi kwenye sekta ya ujenzi hasa kutokana na ukweli kwamba bei ya vifaa vya ujenzi mfano cement na bati ilipanda maradufu.

Kutokana na hayo naomba tupeane uzoefu kwa wale wote walioanza ujnzi wa nyumba zao mwaka 2021 ulifanikiwa vipi kuanza ujenzi na ni kwa namna.

gani ulipambana mpaka kufikia hapo.

Itapendeza zaidi kama utaweka specification za nyumba yako mfano vyumba viwili na sebule na gharama yake mfano milioni 30.

kwani mchanganuo huo utachagiza ari na morali ya wanabodi lakini pia utatuongezea mwanga na kutupa funzo kubwa la kusonga mbele na kutokukata tamaa.

kama sio kuahirisha ahirisha ujenzi wa makazi yetu tarajiwa.

Kwa heshima yenu nawasilisha
Nilikopa Halmashauri ile mikopo yao afu mkurugenzi zilikua zinaiva akanibless nikanunua iliyokua inauzwa na Saccos
 
Unaweza kumaliza kujenga Nyumba kwa gharama kubwa labda kwa million 45.. Ila Nyumba hiyo hiyo ungesimamia vizuri, ungetumia labda Million 35...!! Mafundi wanatupiga saana hasa kwa mtu ambaye yuko bize na site weekend hadi weekend unapewa ripot tu kwa njia ya simu,, mafundi si watu wazuri,,!!

Kwa mfano anakupigia hesabu msingi utatumia cement mifuko 25, kumbe lbda msingi wako utatumia mifuko 15..!! Hiyo kumi ya juu anauza au lbda anapeleka kwake kwa ajili ya ujenzi wake..!!
Huu ndio ukweli wenyewe. Najua mafundi waliopo humu hawapendi kuiona hii comment😏
 
Mimi nimejenga mkoaniani Mwanza, vyumba vitatu kimoja masta, sebule, public toilets, dinning hall, kitchen and a store. Niko kwenye final stages za finishing. 35+ hivi imeshakata.

Nimeanza kujenga early 2020 na naendelea hadi sasa. Changamoto kubwa ni kua najengwa kadiri ninavypata hela na pia sio mimi ninaesimamia ujenzi kwa sababu niko kazini DSM.

Kwa hatua niliyofikia, nataka tuhamie hivyo hivyo mengine yatamalizikia nikiwa ndani.
 
Mimi nimejenga mkoaniani Mwanza, vyumba vitatu kimoja masta, sebule, public toilets, dinning hall, kitchen and a store. Niko kwenye final stages za finishing. 35+ hivi imeshakata.

Nimeanza kujenga early 2020 na naendelea hadi sasa. Changamoto kubwa ni kua najengwa kadiri ninavypata hela na pia sio mimi ninaesimamia ujenzi kwa sababu niko kazini DSM.

Kwa hatua niliyofikia, nataka tuhamie hivyo hivyo mengine yatamalizikia nikiwa ndani.
Hongera sana. 35+ kwa vyumba 3!
 
Back
Top Bottom