Waliojenga maeneo haya wanategemea nini? Na wahusika hawawaoni?

Kichangiri

JF-Expert Member
Feb 16, 2017
331
670
Leo nimepita maeneo ya mabibo (kipande cha kutoka mabibo mwisho hadi bigbrother corner) nimeshangazwa na kuona watu wamejenga nyumba za kuishi na za biashara katika eneo ambalo nyaya za umeme mkubwa (gridi ya taifa) zinapita. Hivi mamlaka husika hazioni umuhimu wa kuwaondoa watu hao au mpaka siku waya uanguke na kusababisha maafa? Cha kushangaza kuna watu wanafanya shughuli zao katika eneo hilo kama kilimo cha mboga pamoja na mikutano ya kidini
My take: wahusika waangalie eneo zilipopita nyaya hizi kwani siku likitokea la kutokea yatakuwa sio ya kawaida
 
Leo nimepita maeneo ya mabibo (kipande cha kutoka mabibo mwisho hadi bigbrother corner) nimeshangazwa na kuona watu wamejenga nyumba za kuishi na za biashara katika eneo ambalo nyaya za umeme mkubwa (gridi ya taifa) zinapita. Hivi mamlaka husika hazioni umuhimu wa kuwaondoa watu hao au mpaka siku waya uanguke na kusababisha maafa? Cha kushangaza kuna watu wanafanya shughuli zao katika eneo hilo kama kilimo cha mboga pamoja na mikutano ya kidini
My take: wahusika waangalie eneo zilipopita nyaya hizi kwani siku likitokea la kutokea yatakuwa sio ya kawaida
Nibalaa tupu halafu jiulize alie pima alikuwa haoni?
Mm Kuna mzee niliiwahi muhusia lile eneo sio labda akaniona Mtoto..
 
Mkuu ni jambo la kushangaza kuweka pale zilipo. Tena plants za gas.
Kuweka plants za gas kwenye makazi ya watu ni jambo la hatari sana. Ingia YouTube tizama kilichotokea Japan vinu vya kuhifadhia gas vilipopata hitilafu - Oooooh Lord!
 
Watu wa maeneo hyo walio wengi wanajua kuanzia hko mpaka bandari kavu ila wajanja wanawauzia watu wenyewe wanasepa.
 
Enzi za Mkapa na Kikwete nchi iliyumba sana, yaani kulikuwa hakuna hata usimamizi wa uhakika na ndiyo maana wananchi wakawa wanajifanyia tu vitu vyao kama hawana akili.
 
Enzi za Mkapa na Kikwete nchi iliyumba sana, yaani kulikuwa hakuna hata usimamizi wa uhakika na ndiyo maana wananchi wakawa wanajifanyia tu vitu vyao kama hawana akili.
Hata enzi hz za jiwe ni mwendo mmoja...
Mpk mkuu akafungua uzi huu maana yake bado hali iko vile vile
 
Njoo hapa zakhemu wafanya biashara Kalibu elfu moja wako chini ya nyaya. Mheshimiwa kasema machinga ndio waliompigia kula. Nenda gerezani kkoo ni mwaka wa machinga
 
Hata enzi hz za jiwe ni mwendo mmoja...
Mpk mkuu akafungua uzi huu maana yake bado hali iko vile vile


Enzi za Kikwete Jiwe alikuwa waziri wa ujenzi na aliwashikisha sana adabu wakandarasi fake mpaka wengine wakajiua. Tanzania tulimuhitaji Jiwe aisee. Wote tumpigie makofi Jiwe na kusema Jiwe, Oyeeeee!
 
Back
Top Bottom