PierreLiquid
JF-Expert Member
- Oct 16, 2019
- 596
- 2,279
Habari wajuba.
Niliapply hii kazi online, sasa katika mihangaiko yangu nipo mkoani katika pitapita kwenye mtandao nikalikuta jina langu katika majina ya almost watu 200 na interview ni kesho Dar es salaam saa 4. Kiukweli nilikuwa sina namna zaidi ya kuimiss.
Lengo la kuuliza ni kufahamu kilichotokea kwa waliobahatika kuwepo eneo hili ili tuendelee kujifunza zaidi.
Asante.
Niliapply hii kazi online, sasa katika mihangaiko yangu nipo mkoani katika pitapita kwenye mtandao nikalikuta jina langu katika majina ya almost watu 200 na interview ni kesho Dar es salaam saa 4. Kiukweli nilikuwa sina namna zaidi ya kuimiss.
Lengo la kuuliza ni kufahamu kilichotokea kwa waliobahatika kuwepo eneo hili ili tuendelee kujifunza zaidi.
Asante.