Walioiongezea IPTL mkataba ni wahujumu uchumi wachukuliwe hatua!

Ambalo sielewi ni kama wana mkataba ni lazima wana haki ya kupewa leseni? Na kama wameshindwa kupata leseni wanaweza kushitaki kwa kunyimwa? Naomba nijue kama IPTL kupata mkataba automatically wanakuwa na guaratee ya kupata leseni ya usalishaji umeme. Na mkatabq utakuwa ni kati ya TANESCO na IPTL na siyo kati ya serikali na IPTL. Naomba kufafanuliwa hapa.
Kuna kitu kinaitwa "legitimate expectations" au matarajio sahihi. Serikali kwa kumwongezea mkataba bila hata ya kuondoa vifungu vya kifisadi haswa capacity charges IPTL amepewa matumaini ya kuongezewa muda wa leseni pia ambao unatolewa na serikali hiyo hiyo kwa kupitia wakala wake wa EWURA.

Sasa EWURA ikigoma kuwaongezea muda wa leseni maana yake mkataba walioongezewa ni mfu na wanayohaki kuifungulia serikali kesi ya fidia kwa kuyainua matarajio yao kuwa wangeendelea kwa miaka mitano huku wamewazuia kwa kuwanyima leseni.
 
Aloahidi kutofukua makaburi ni JPM hapo upinzani unaingiaje?? Waloasisi hii mikataba wanajulikana na CCM msituone hatuna akili.

Pia ujinga wa kutengeneza kadi za chadema na kuwapa watu wenu ati waact km wanazirudisha ni upumbafu wa zaidi ya kujitekenya kisha kujichekelesha
Jpm ana jukumu la kutuelezea mchango wake ndani ya baraza la mawaziri hadi IPTL wakaongezewa mkataba.

Hii tumbua tumbua majipu hewa ili kuwabebesha mizigo isiyokuwa yao ni usanii wa kisiasa.
 
Ah ah wezi walopewa kibali cha kuiba na baraza la mawaziri la CCM. Kweli serikali yako nimeielewa kuzuia mikutano ya siasa kwan haya hamtaki watanzania waelezwe ni kina nni waliasisi wizi huu wa IPTL.

Hacha zako wewe
Haya ni baadhi ya maeneo hawataki yahojiwe lakini penye ukweli uongo hujitenga
 
VIONGOZI WA CCM NDO WALIONGEZA HALAFU LEO WANAMUONEA NDUGU NGALAMKOSI KWA KUMFUKUZA KAZI SAA SABA USIKU KWA KUWA AMEKUWA ANAKATAA HONGO NA VITISHO VINAVYOTAKA APINDISHE SHERIA
Halafu anatimuliwa kwa kutekeleza majukumu yake ya kisheria.

IPTL wanapoomba kuongezewa muda wa leseni public hearings hazikwepeki kabla EWURA hawajafanya maamuzi yao.

Sasa makosa ya baraza la mawaziri ambayo JPM ni mshiriki anaadhibiwa yule asiyehusika kabisa.
 
Kuna kitu kinaitwa "legitimate expectations" au matarajio sahihi. Serikali kwa kumwongezea mkataba bila hata ya kuondoa vifungu vya kifisadi haswa capacity charges IPTL amepewa matumaini ya kuongezewa muda wa leseni pia ambao unatolewa na serikali hiyo hiyo kwa kupitia wakala wake wa EWURA.

Sasa EWURA ikigoma kuwaongezea muda wa leseni maana yake mkataba walioongezewa ni mfu na wanayohaki kuifungulia serikali kesi ya fidia kwa kuyainua matarajio yao kuwa wangeendelea kwa miaka mitano huku wamewazuia kwa kuwanyima leseni.
Capacity charge inakua kwa kazi gani?????
 
Ambalo sielewi ni kama wana mkataba ni lazima wana haki ya kupewa leseni? Na kama wameshindwa kupata leseni wanaweza kushitaki kwa kunyimwa? Naomba nijue kama IPTL kupata mkataba automatically wanakuwa na guaratee ya kupata leseni ya usalishaji umeme. Na mkatabq utakuwa ni kati ya TANESCO na IPTL na siyo kati ya serikali na IPTL. Naomba kufafanuliwa hapa.
Siku ambaya EWURA aliyekuwa anahojiwa alidai kuwa yeye anahusika na leseni tu, na akagusia kidogo kuwa mkataba wa IPTL unaisha 2025 na huwa ni "hidden and confidential contract"
 
Kuna kitu kinaitwa "legitimate expectations" au matarajio sahihi. Serikali kwa kumwongezea mkataba bila hata ya kuondoa vifungu vya kifisadi haswa capacity charges IPTL amepewa matumaini ya kuongezewa muda wa leseni pia ambao unatolewa na serikali hiyo hiyo kwa kupitia wakala wake wa EWURA.

Sasa EWURA ikigoma kuwaongezea muda wa leseni maana yake mkataba walioongezewa ni mfu na wanayohaki kuifungulia serikali kesi ya fidia kwa kuyainua matarajio yao kuwa wangeendelea kwa miaka mitano huku wamewazuia kwa kuwanyima leseni.
Lakini IPTL kasaini mkataba na TANESCO na siyo serikali. Na nijuavyo TANESCO ni independent entity.
 
IPTL imekuwa na mkataba wa kifisadi na Tanesco kwa kuiuzia Tanesco umeme kwa bei ya juu zaidi ya soko na kuifanya Tanesco iendeshwe kwa hasara kwa sababu tozo zake ziko chini ya bei ya umeme Tanesco walizozinunulia!

Tusiukwepe ukweli ya kuwa waliowaongezea IPTL mkataba kwa masharti yale yale ya kifisadi na la ajabu hadi leo waliowaongezea mkataba IPTL hawajachukuliwa hatua kwa makosa ya jinai ya kuuhujumu uchumi.

Baada ya kuwaongezea IPTL mkataba wa kuendelea kuifilisi Tanesco bila kuishirikisha EWURA na kuigeuza EWURA rubber stamp ni wazi waliingilia majukumu ya kisheria ya EWURA.

Bila kuwachukulia hatua wahusika hawa na EWURA kugoma kuwaongezea muda wa leseni IPTL hadi watakapokubali kuwauzia Tanesco umeme bei chini ya bei Tanesco inawauzia wateja wake na kufuta capacity charges ambazo sisi ni kati ya nchi chache sana zina mikataba na wawekezaji ya kipumbavu kama hii.

Tumbua tumbua majipu hewa huku tunalinda saratani ni utapeli wa kutisha wa kisiasa ambao wakati tu ndiyo utawaumbua wasanii hawa.

Waliowaongezea mkataba IPTL ni baraza la mawaziri la JK ambalo mtumbua majipu ni Mjumbe sasa ni nani wa kumfunga paka kengele?
muhusika WA IPTL Ni mzee WA kutoka bukoba
 
Siku ambaya EWURA aliyekuwa anahojiwa alidai kuwa yeye anahusika na leseni tu, na akagusia kidogo kuwa mkataba wa IPTL unaisha 2025 na huwa ni "hidden and confidential contract"
Huo mkataba uko hidden kwamba EWURA hawajauona pia au ni confidential mbele ya public? Na kama ni hidden yeye EWURA kajuaje unausha 2025? Na kama ni hidden kwa public anatafuta maoni ya nini toka kwenye public maana public haiko informed ya kinachoendelea kati ya Tanesco na EWURA! Naomba kuelimishwa hapa.
 
IPTL imekuwa na mkataba wa kifisadi na Tanesco kwa kuiuzia Tanesco umeme kwa bei ya juu zaidi ya soko na kuifanya Tanesco iendeshwe kwa hasara kwa sababu tozo zake ziko chini ya bei ya umeme Tanesco walizozinunulia!

Tusiukwepe ukweli ya kuwa waliowaongezea IPTL mkataba kwa masharti yale yale ya kifisadi na la ajabu hadi leo waliowaongezea mkataba IPTL hawajachukuliwa hatua kwa makosa ya jinai ya kuuhujumu uchumi.

Baada ya kuwaongezea IPTL mkataba wa kuendelea kuifilisi Tanesco bila kuishirikisha EWURA na kuigeuza EWURA rubber stamp ni wazi waliingilia majukumu ya kisheria ya EWURA.

Bila kuwachukulia hatua wahusika hawa na EWURA kugoma kuwaongezea muda wa leseni IPTL hadi watakapokubali kuwauzia Tanesco umeme bei chini ya bei Tanesco inawauzia wateja wake na kufuta capacity charges ambazo sisi ni kati ya nchi chache sana zina mikataba na wawekezaji ya kipumbavu kama hii.

Tumbua tumbua majipu hewa huku tunalinda saratani ni utapeli wa kutisha wa kisiasa ambao wakati tu ndiyo utawaumbua wasanii hawa.

Waliowaongezea mkataba IPTL ni baraza la mawaziri la JK ambalo mtumbua majipu ni Mjumbe sasa ni nani wa kumfunga paka kengele?
Kama umeandika hii baada ya kuina ile barua ya Waziri Mkuu kumsimamisha Mkurugenzi wa Ewura utakua hauna maana, maana unachokiandika kimeshaonwa na Wakubwa na Wakachukua hatua then wewe unakuja kiutuamba jambo ambalo mchakato wake unaendelea,

Unless uwe hujaiona ile barua
 
Mtoa mada hill sikushauri kulifuatilia sana. Wakinyongwa nyie ndio mtakuwa wa kwanza kusema wameua chama chenu.

Magwiji yote mawili mnayo huko.
 
Kwenye tangazo lao kuna wamiliki wawili wameongezeka, Euroasia Holdings Limited na Hi-Tide Trade Limited. Je hao ni kina nani?
 
Mimi naomba kuuliza kwani uandaaji wamikataba upoje naomba kulimishwa mwekezaji ndio anaandaa mikataba au mwanashelia wa selekali
 
Lakini IPTL kasaini mkataba na TANESCO na siyo serikali. Na nijuavyo TANESCO ni independent entity.
Ki nadharia uko sawa lakini kiuhalisia mambo tofauti kabisa. Ma CEO wa asasi za serikali watakuwa wana changanyikiwa kuhusu kiwango cha uhuru wao. Ukijiamini uko matatani ukifuata matakwa ya wakuu hauko salama.
 
Back
Top Bottom