Bwana Jela
Senior Member
- Nov 25, 2019
- 131
- 655
Hii Nchi ilichezewa sana awamu ya nne.
Kuna kikundi kimojawapo kiliochota na kupora mabilion ya Watanzania huko libya sasa ni rasmi watapandishwa kwenye vyombo vya sheria ili kuyatema mabilion ya Watanzania.
Moja ya walioiba mabilion Hayo anasemekana anataka kukimbia Nchi Naomba Serkali imuwahi huyu fisadi mkubwa.
Watanzania tunataka mabilion ya Watanzania yarudishwe mara moja.
Heko kwa Rais Magufuli kutokucheka na majizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kikundi kimojawapo kiliochota na kupora mabilion ya Watanzania huko libya sasa ni rasmi watapandishwa kwenye vyombo vya sheria ili kuyatema mabilion ya Watanzania.
Moja ya walioiba mabilion Hayo anasemekana anataka kukimbia Nchi Naomba Serkali imuwahi huyu fisadi mkubwa.
Watanzania tunataka mabilion ya Watanzania yarudishwe mara moja.
Heko kwa Rais Magufuli kutokucheka na majizi.
Sent using Jamii Forums mobile app