Waliohukumiwa kifo Marekani wafadhilisha risasi badala ya sindano ya sumu

IJIGHA NDIO HOME

JF-Expert Member
Jul 13, 2019
748
771
Waliohukumiwa kifo marekani wafadhilisha risasi badala ya sindano ya sumu.

Wafungwa wawili waliohukumiwa kifo katika Jimbo la oklohama nchin marekani wameenda mahakamani katika kuangaliwa upya namna ya utekelezaji wa jukumu ya kifo

Donald Antony ambeye aliua watu wawili katika tukio la wizi wa mabavu mwaka 2001 na Gilbert Ray ambaye aliua watu wanne kwa risasi baada ya kubugia mihadarati mwaka 2005.wamemtaka jaji stephine friot wa mahakama ya wilaya katika Jimbo la oklohama kuchelewesha hukumu dhid yao

Wameomba mahakamicheleweshe hukumu had pale mahakama itakapoamua iwapo utekelezaji wa Sasa wa hukumu hio kwa kuchoma sindano ya sumu unaendana na katiba ya nchi

Wamesema wamefadhilisha hukumu hio itolewe kwa kufyatuliwa risasi badala ya njia ya sindano ya sumu

4c0p6d9a1d4d9b20a20_440C247.jpg
 
Huwa sipati picha moyo wa mtu anaejua masaa machache anakaribia kuiacha dunia huwa unakuwaje. Mawazo yake n.k🤔
lakini kina mazuri yake, unapata fursa ya toba kujutia makosa yako kuwaomba radhi uliowakosea na kuwaaga ndugu jamaa na marafiki..
kitu cha kutisha ni mauti ya ghafla..
 
Mwili unakufa ganz unaona ni kawaida tuu tena wanachelewesha
Huwa sipati picha moyo wa mtu anaejua masaa machache anakaribia kuiacha dunia huwa unakuwaje. Mawazo yake n.k🤔
 
Huwa sipati picha moyo wa mtu anaejua masaa machache anakaribia kuiacha dunia huwa unakuwaje. Mawazo yake n.k🤔
Hiyo siku itafika utajionea. Kila jua linapozama unaikaribia siku. Juzi siku ilikuwa mbali kuliko leo, itakuwa karibu zaidi kesho.
 
Tumbo kulegea
Mwili kuishiwa nguvu
Mapigo ya moyo kwenda Kasi
Haja kutoka yenyewe
Meno kuumana

Mdau kauliza moyo wa huyo mtu unakuaje.

Naomba unieleweshe moyo gani huo unatoa haja, au meno yake yanaumana ukijua unaenda kufa.

Mkuu ulishawai kufa?
 
Back
Top Bottom