Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,217
- 2,354
Walitakiwa wasimamishwe wakati uchunguzi na mashtaka yakiandaliwa. Huwezi kuacha loophole ya kuonekana hawana makosa na kutoa nafasi ya kuharibiwa ushahidi. Ni changa la macho tu.Kama ulimsikia vizuri suala Hilo litashughukikiwa na wanasheria wa chama watafungua kesi