Tutaelewana kidogo kidogoHabari wadau. Yajayo yanafurahisha.
Waliokuwa Wabunge wa Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee wameanza kutofautiana hasa baada ya kufutwa Uanachama, na mapokeo ya maamuzi hayo kwa BAWACHA wenzao na Wanachama kwa ujumla.
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba Dada mmoja kutoka Mbeya ameungana na wenzake na wameanza kushinikiza ili waende kuonana na mwenyekiti ili kuomba msamaha.
Jambo hili limeathiri mpango wa pamoja wa kutoa tamko kulaani kuvuliwa uanachama, kutokana na baadhi kutokubaliana na matamshi yanayokinzana na misimamo yao.
Muda unakwenda kasi, muda si mrefu tutasikia mapya juu ya mchongo mzima wa jinsi suala hili lilivyokuwa, watasema wenyewe na tutaelewa vizuri.
Kesha jichimbia kaburi lake kisiasa hasa zile za kiungwanaHalima Mdee anasema na nishukuru mwenyekiti wangu wa chama kwa kuturuhusu,... Aisee..!
Hapo ndiyo ccm wanamchukiaga sana mh Mbowe maana anajua jinsi ya kukabilina nao.Hii karata hata CCM hawaelewi waipindue vipi ionekane haina kona kona mingi
Gaucho sijui kama anapigaga mswakiCovid19 wakaungane na wenzao lijualibutu,siringe na gaucho minjino.
Yule wa kule kwa IGEMBE NSABOGaucho ni nan mkuu
And that is your problem. You want him to talk down to his audience? Lissu is the only one who treats his audience with respect. He doesn't take them for granted even though he is more educated than most of them. He touches a chord with them because he tells them what he sees as the truth. He doesn't try to buy them off nor give them easy answers to difficult questions. I think that you are barking up the wrong tree. He totally has nothing in common with the Trump.
Amandla...
Ilikuwa siku ngumu sana kwangu nilipomuona Halima Mdee na genge lake wakila kiapo.Nawashukuru sana Chadema kwa uamuzi wao wa kuwafukuza.Hatukutegemea haya kwa Halima Mdee!!!
Team Mdee wasimamie walichoamua kukisimamia. There’s no turning back; wasije wakageuka mawe bure!
Chama kiliingia completely kwenye catch-22 situation. A political loss was imminent, no matter how the party chose to respond. Tukisema Upinzani hawajakomaa kwenye hii sanaa ya siasa, wanaanza kuturushia matusi kama kawaida yao!
Hakuna cha aibu hapa! nchi hii siyo siasa tu kila leo. Mwanasiasa, akilalamikamunaleta hadithi hapa. Mwanasiasa akibaka, munaleta utetezi hapa. Bhla-bhla! kibao! HAtuhitaji kuondoa shida za wansiasa ili kuendelea. Tatueni matatizo ya wakulima, wafugaji, wavuvi, FINITO!Halafu bila aibu unajiita Patriot? Patriot gani wewe usiyejali yanayowasibu wananchi wenzako?
Amandla...
Watu wa aina yako wapo wengi tu! Arsenal ikifungwa London, wao wanalia kariakoo. Hawafaidiki na ushindi, hawajulikani London, wao wapo wapo tu kama wewe.Ilikuwa siku ngumu sana kwangu nilipomuona Halima Mdee na genge lake wakila kiapo.Nawashukuru sana Chadema kwa uamuzi wao wa kuwafukuza.
Kusema ukweli Magufuli mpe kazi halima mdee,si rahisi kwa mwanamke kuwa jasiri kama hivyo,kwa nchi inayojulikana kama haiheshimu demokresia kubadili msimamo na kama mwanamke pia kuwa that strong tells you something, huyu kamanda sio kwamba hakujua sie wapiga kelele wa mtandaoni tutaongea mbovu,alijua na bado akasimamia anachotaka... Halima do your thing,wengi wetu tunaongea mbovu kwenye comfort zone ya majumbani kwetu infront of laptop/computer...VITA uliyopigana ukiwa in the real environment..ni vita halisi from the real ground, NONE of US can fight in the 'real' war as you have DONE and if they dont appreciate the hard work you did for the party and the country I DO!
Na utarushiwa kwelikweli kwa sababu by all facts, you are an ignorant of the highest order...
Hebu amka kumekucha acha kuotaSiasa ni mchezo mchafu sana, usije shangaa siku ukisikia Tundu Lisu amehamia CCM na akalamba Uwaziri
Kuna tofauti kati ya njaa na tamaa kina Halima hawana njaa ila wana tamaaNjaa; Halima ana tamaa ya fedha, baada ya kukosa ubunge alikuwa hana pa kushikia!! Fursa ya viti maalum ilipojitokeza akatumbukia moja kwa moja!
Kama ulimsikia vizuri suala Hilo litashughukikiwa na wanasheria wa chama watafungua kesiMbowe mwenyewe amekiri kuna viongozi wamefoji na kupeleka majina. Taarifa ya tume imesema Katibu mkuu msaidizi ndiye alipeleka nyaraka zikiwa na saini ya Katibu Mkuu. Cha ajabu kikao cha juzi hakijasema lolote kwa waliofanya "uhuni" huu. Unadhani ni kwa nini.
How can a man so called patriot vomit this rubbish?Kuna wakati nawashangaa watu kama wewe. Ktk nchi hii siasa si kazi ya lazima. Kama shida ni kubwa kiasi hicho unachoeleza, kwa nini hawaachani na siasa? Kinachowavutia kuendelea na siasa ktk mazingira kama hayo ni juu yao, Iwe ni ushujaa au ujinga wao, ni juu yao!!
Usitupotezee muda kusimulia mikasa isiyotuhusu, sisi hatukuwatuma kuwa wanasiasa! Au unadhani wanatupigania? Kwahi hawajui kuna kazi zingine Zaidi ya siasa? Kuna mtu hapa katoa mfano wa wakulima, mbona jua likiwaka wanaachana na kilimo na kuanza kufuga mbuzi? Iweje kwa upuuzi wao uanze kutusimulia utadhani waliumbwa ili wawe wanasiasa? Trash!
Hapo ndiyo ccm wanamchukiaga sana mh Mbowe maana anajua jinsi ya kukabilina nao.
"Hivi wewe huna macho ya kukuwezesha kuona alichofanya Magufuli au angalau masikio ya kukuwezesha kusikia watu wengine wakisimulia?"Kukataa matokeo ni utamaduni wa narcissists wote popote walipo. Hata Trump (twin brother wa Lissu na Maalim Seif) hajakubali matokeo!
Hivi wewe huna macho ya kukuwezesha kuona alichofanya Magufuli au angalau masikio ya kukuwezesha kusikia watu wengine wakisimulia?