Waliofukuzwa kazi kwa kughushi vyeti wakifungua kesi watashinda

abudist

JF-Expert Member
Oct 25, 2009
850
780
Rais anawachanganya watu kwa kauli zake za kinafiki.

1) Hotuba ya Rais September 26, 2016 bandarini Dar es salaam, na-nukuu ''Yule mwenye vyeti vya forgery ataondolewa kwenye nafasi yake. Wewe uliyepeleka cheti chako ukasema mimi ni kuli nilimaliza darasa la saba unabaki na kazi yako'' Mwisho wa kunukuu.

2) Hotuba ya Rais leo tarehe 03 October, 2017. Na-nukuu ''Na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alivyojaribu kuzungumza kidogo, vita ikawa kubwa kwake, hajasoma hajafanya nini...mimi hata hajui 'Aaa' mradi anashika madawa ya kulevya huyo ni msomi mzuri. Kwani wenyeviti mliopo hapa wote mmesoma?'' Mwisho wa kunukuu.

Sasa wale wafanyakazi wote waliofukuzwa kazi kwa kughushi vyeti ingawaje walikuwa wanafanya kazi zao kwa ufasaha waende mahakamani. Kwa kauli hii ya leo ya Rais Magufuli ina maana wanaweza kurudishwa kazini kwa kifungu cha kubaguliwa na kutotendewa haki. Kwa sababu makosa hayo hayo waliyokutwa nayo sheria imepindwa kumlinda RC wa Dar, kwa kutumia amri ya Rais na siyo ya sheria ya nchi. Wanasheria angalieni hili wasaidieni waliofukuzwa kazi kwa ushahidi huu wa kauli za Rais mwenyewe kesi mtashinda.
 
Rais anawachanganya watu kwa kauli zake za kinafiki.

1) Hotuba ya Rais September 26, 2016 bandarini Dar es salaam, na-nukuu ''Yule mwenye vyeti vya forgery ataondolewa kwenye nafasi yake. Wewe uliyepeleka cheti chako ukasema mimi ni kuli nilimaliza darasa la saba unabaki na kazi yako'' Mwisho wa kunukuu.

2) Hotuba ya Rais leo tarehe 03 October, 2017. Na-nukuu ''Na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alivyojaribu kuzungumza kidogo, vita ikawa kubwa kwake, hajasoma hajafanya nini...mimi hata hajui 'Aaa' mradi anashika madawa ya kulevya huyo ni msomi mzuri. Kwani wenyeviti mliopo hapa wote mmesoma?'' Mwisho wa kunukuu.

Sasa wale wafanyakazi wote waliofukuzwa kazi kwa kughushi vyeti ingawaje walikuwa wanafanya kazi zao kwa ufasaha waende mahakamani. Kwa kauli hii ya leo ya Rais Magufuli ina maana wanaweza kurudishwa kazini kwa kifungu cha kubaguliwa na kutotendewa haki. Kwa sababu makosa hayo hayo waliyokutwa nayo sheria imepindwa kumlinda RC wa Dar, kwa kutumia amri ya Rais na siyo ya sheria ya nchi. Wanasheria angalieni hili wasaidieni waliofukuzwa kazi kwa ushahidi huu wa kauli za Rais mwenyewe kesi mtashinda.
Napenda kuwatakia usiku mwema watumishi wote wa umma.
 
Ndoto zako kazifukie

Uliambiwa ana feki na nani!!! Eeeeeeh

Kaa ulie utoe na machozi

Kafungue uisome namba
 
Just tell me ur friend, i will tell u your character.
Hapo daah kwa maoni na mawazo yangu, ukabila ndo source of all btn magu and bashite. Yanayofuatia ni nyongeza tu.
 
Rais anawachanganya watu kwa kauli zake za kinafiki.

1) Hotuba ya Rais September 26, 2016 bandarini Dar es salaam, na-nukuu ''Yule mwenye vyeti vya forgery ataondolewa kwenye nafasi yake. Wewe uliyepeleka cheti chako ukasema mimi ni kuli nilimaliza darasa la saba unabaki na kazi yako'' Mwisho wa kunukuu.

2) Hotuba ya Rais leo tarehe 03 October, 2017. Na-nukuu ''Na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alivyojaribu kuzungumza kidogo, vita ikawa kubwa kwake, hajasoma hajafanya nini...mimi hata hajui 'Aaa' mradi anashika madawa ya kulevya huyo ni msomi mzuri. Kwani wenyeviti mliopo hapa wote mmesoma?'' Mwisho wa kunukuu.

Sasa wale wafanyakazi wote waliofukuzwa kazi kwa kughushi vyeti ingawaje walikuwa wanafanya kazi zao kwa ufasaha waende mahakamani. Kwa kauli hii ya leo ya Rais Magufuli ina maana wanaweza kurudishwa kazini kwa kifungu cha kubaguliwa na kutotendewa haki. Kwa sababu makosa hayo hayo waliyokutwa nayo sheria imepindwa kumlinda RC wa Dar, kwa kutumia amri ya Rais na siyo ya sheria ya nchi. Wanasheria angalieni hili wasaidieni waliofukuzwa kazi kwa ushahidi huu wa kauli za Rais mwenyewe kesi mtashinda.
Tatizo nyie mnaandika tu humu, ila kujitokeza kuwasaidia kufungua kesi hampo. Sasa huwa ni kuropoka au kujifanya tu ujuaji?

Maana kwa kesi kama hii wewe pia unaweza fungua kwa niaba yao
 
Wafanyakazi waliokuwa na vyeti feki ndio walikuwa wachapa kazi sana,
Naishauri serikali iwarejeshe wafanyakazi wote waliogushi vyeti,na waajiri wafanyakazi wengi zaidi wanaogushi vyeti.
Watakuwa chapa kazi kama Makonda
 
Rais anawachanganya watu kwa kauli zake za kinafiki.

1) Hotuba ya Rais September 26, 2016 bandarini Dar es salaam, na-nukuu ''Yule mwenye vyeti vya forgery ataondolewa kwenye nafasi yake. Wewe uliyepeleka cheti chako ukasema mimi ni kuli nilimaliza darasa la saba unabaki na kazi yako'' Mwisho wa kunukuu.

2) Hotuba ya Rais leo tarehe 03 October, 2017. Na-nukuu ''Na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam alivyojaribu kuzungumza kidogo, vita ikawa kubwa kwake, hajasoma hajafanya nini...mimi hata hajui 'Aaa' mradi anashika madawa ya kulevya huyo ni msomi mzuri. Kwani wenyeviti mliopo hapa wote mmesoma?'' Mwisho wa kunukuu.

Sasa wale wafanyakazi wote waliofukuzwa kazi kwa kughushi vyeti ingawaje walikuwa wanafanya kazi zao kwa ufasaha waende mahakamani. Kwa kauli hii ya leo ya Rais Magufuli ina maana wanaweza kurudishwa kazini kwa kifungu cha kubaguliwa na kutotendewa haki. Kwa sababu makosa hayo hayo waliyokutwa nayo sheria imepindwa kumlinda RC wa Dar, kwa kutumia amri ya Rais na siyo ya sheria ya nchi. Wanasheria angalieni hili wasaidieni waliofukuzwa kazi kwa ushahidi huu wa kauli za Rais mwenyewe kesi mtashinda.
RAIS YUPO SAHIHI KABISA

Kumbuka nafasi ya mkuu wa mkoa ni MWANASIASA, hauutaji kuisomea hiyo nafasi ilimladi unajua kusoma na kuandika tuuuuu

Ila nafasi kama udactari, ualimu nk... hizi n profesional pia ni mwajiliwa wa serikali ambayo inamtumikia raisi.
 
Back
Top Bottom