Waliofukuzwa kazi BOT Waidai Serikali billion 3.5 kama fidia.

Tuliza kipago mkuu, habari ndo iyo washalipwa chao hao.

Wanasheria naomba mnisaidie........
ivi jamani nasi tunaoswekwa rumande bila makosa na hawa maDC na ma RC ivi hatuwezi kufungua madai dhidi ya hii serikali ikatulipa?? kwani kwa kitendo chao naona kuna damages unakuwa umesababishiwa hapo pia usumbufu au ndo kuzubaa kwetu.
Sheria inatamka bayana kwamba mkuu wa mkoa/wilaya anaweza kumuweka ndani au chini ya ulinzi wa dola kwa saa 48 mfululizo mtu ambae ni mhalifu au ambae anaweza hatarisha amani iliyopo, sasa mhalifu ni rahisi kutambua mtu alietenda jinai, kwenye kuhatarisha amani ndio hutegemea tafsiri yake huyo mkuu wa mkoa/wilaya na hapo ndio penye mwanya wanapojificha, ila unaweza kwenda mahakamani ili akathibishe vitendo au kauli yako imehatarisha vipi amani na mahakama ikiridhika na madai yako itaamua kadri itakavyoona inafaa, kutoa onyo, karipio au fidia kwa mhusika
 
Kwani

Kiongozi hilo gazeti si buku tu. Mtoa mada maybe kaandika alichoandika kutokana na uelewa wake. Wewe nunua hilo gazeti upate undani wa hiyo habari uweze kuchangia vizuri.
Hivi issue ni bei ya gazeti au kutaka kusoma gazeti au issue ni maelezo tofauti kati ya heading ya gazeti na maelezo ya mleta mada?! Btw, utawaambia wangapi wakanunue hilo gazeti manake kila mchangiaji anaonekana kuongea kile kile... heading ya gazeti na maelezo ni tofauti!
 
6163846b74d52ce57be39014078476cb.jpg
Hii serikali bila shaka imefilisika .
 
Back
Top Bottom