Waliofiwa na ndugu zao wakati wa mgomo kumshtaki Dk Ulimboka na chama cha madaktari

Waliofiwa na ndugu zao na walioteseka kwa kukosa matibabu wakati wa mgomo wanajipanga kwenda mahakamani kuwashtaki madaktari,kiongozi wa mgomo dr ulimboka na mat.wameshaonana na wakili na kesi itafunguliwa katika mahakama ya kisutu baada ya taraibu zote kukamilika. Source.mimi mwenyewe nimemsikia mwathirika mmoja akiongea na wakili wao.

Kama ambavyo Dr. Ulimboka anavyotetewa na wanaharakati, vivyo hivyo na wanyonge watatetewa tu. Safi sana mawakili walioamua kuwatetea hawa wanyonge ambao wameshuhudia makundi ambayo yangewatetea kama wanasiasa na wanaharakati wanabeba mabango ya kutetea nduli Ulimboka.
 
Waliofiwa na ndugu zao na walioteseka kwa kukosa matibabu wakati wa mgomo wanajipanga kwenda mahakamani kuwashtaki madaktari,kiongozi wa mgomo dr ulimboka na mat.wameshaonana na wakili na kesi itafunguliwa katika mahakama ya kisutu baada ya taraibu zote kukamilika. Source.mimi mwenyewe nimemsikia mwathirika mmoja akiongea na wakili wao.

Hivi wanaharakati hawawezi kushtakiwa katika mahakama ya the hague? Hawa ni hatari sana kwa jamii. Pesa wanazopewa kutoka nje zina nguvu gani mpaka washtakiwe jamani, mimi binafsi naona kama hawa ndiyo tishio kwa maisha ya wanyonge.
 
ni upepo tu utapita alishatahadharisha mh pinda

Haiwezekani lipite kama upepo jamani, ina maana kweli Ulimboka aachwe hivi hivi kweli bila kushtakiwa? Wagonjwa watakuwa hawajatendewa haki. Mbona walimu wametakiwa kuwalipa fidia wanafunzi kwa kitendo chao cha kugoma? Ni matumaini yangu kuwa Serikali italitazama hili ili iwe fundisho kwa watu kama akina Ulimboka na wenzake, kila mtu ana haki ya kuishi.
 
Jicho la kwanza na lapili ila jicho la tatu wangeanza na serikali kupitia wizara ya afya ambao wanaua kila kukicha kwa huduma mbovu
 
na sisi watoto wetu waliokufa kwa kukosa oxygen kkipindi cha giza tuwahi mahakamani.muuaji mkuu ni serikali.
Ulimboka ni mtetezi wa vifo vya watoto na kina mama.
 
Safi wapelekwe wote mahakamani na wafungwe kwa ubinafsi na tamaa na uroho

Vipi kuhusu wanasiasa waliomshawishi Dr. Ulimboka kuwa na msimamo wa kugoma? wao hawawezi kushtakiwa endapo ikigundulika walifanya hivyo kwa sababu huku mtaani kwetu kuna kiongozi mmoja wa chama cha siasa anasema lilitolewa agizo kutoka makao makuu ya chama hicho kuhakikisha wanatoa msaada wa hali na mali kufanikisha mgomo huo.
 
Waliofiwa na ndugu zao na walioteseka kwa kukosa matibabu wakati wa mgomo wanajipanga kwenda mahakamani kuwashtaki madaktari,kiongozi wa mgomo dr ulimboka na mat.wameshaonana na wakili na kesi itafunguliwa katika mahakama ya kisutu baada ya taraibu zote kukamilika. Source.mimi mwenyewe nimemsikia mwathirika mmoja akiongea na wakili wao.

Naunga mkono hoja na ingewezekana huyo Ulimboka atekwe tena na kuuwawa ili kufidia wale waliopoteza ndugu zao wakati wa UJINGA wake yeye na WENZAKE
 
tuishtaki serikali kwa vifo vyote vilivyotokea kwa kukosa dawa na ct scanner.
 
Aiseeee baba yangu sasa na mgomo umekwisha lakini ndugu zetu bado wanakufa sijui 2mstaki nani
 
Aiseeee baba yangu sasa na mgomo umekwisha lakini ndugu zetu bado wanakufa sijui 2mstaki nani
 
ulimboka hakuwa mwajiriwa wa serikali ni lini alihusika kutibu wagonjwa wetu?
Waziri wa afya(nkya) alikiri bungeni kuwa hakuna madhara yaliyotokea wakati wa mgomo.kwa hiyo na yeye atafutwe ahukumiwe,na hii itamaanisha serikali ilidanganya umma na yenyewe iwajibike?
MAHAKAMA NI KICHAKA CHA SERIKALI!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Kweli kabisa wanahaki ya kufanya hivyo kwa sababu mahakama ilikuwa tayari imezuia mgomo huo, hivyo ulikuwa batili. Nadhani mnakumbuka chama cha walimu kilivyoambiwa pia?

Mi nina wasiwasi na chama cha madaktari na hiki cha walimu kama wanatumia wanasheria makini, wasije kuwa viongozi wao wanawaingiza mkenge!

Ni wangapi wamepoteza ndugu zao kabla ya mgomo wa madaktari?

Je madaktari wasingegoma vifo visingekuwepo?
 
tuishtaki serikali kwa vifo vyote vilivyotokea kwa kukosa dawa na ct scanner.

tuwashtaki wote,serikali na madaktari mana wote hawa wanajukumu la kumhudumia mtanzania maskini na mlipa kodi lakini wanampuuza.halafu sio wagonjwa wote wanahitaji st scan
 
tuwashtaki wote,serikali na madaktari mana wote hawa wanajukumu la kumhudumia mtanzania maskini na mlipa kodi lakini wanampuuza.halafu sio wagonjwa wote wanahitaji st scan

ni kweli kuwa sio wagonjwa wote wanahitaji ct scan isipokuwa wale walioko kwenye hatari ya kufa tu.huu ndio ukweli unaoumiza!
Uimboka alitetea huduma bora za afya kwa wananchi,serikali ilimpinga kwa kumteka na kumtesa.
 
Kweli kabisa wanahaki ya kufanya hivyo kwa sababu mahakama ilikuwa tayari imezuia mgomo huo, hivyo ulikuwa batili. Nadhani mnakumbuka chama cha walimu kilivyoambiwa pia?

Mi nina wasiwasi na chama cha madaktari na hiki cha walimu kama wanatumia wanasheria makini, wasije kuwa viongozi wao wanawaingiza mkenge!

Tatizo la wataalamu kuwa kuongozwa wanasiasa. Ujue mwanasiasa akimkamata vizuri mtaalam yeyote siyo rahisi kuchomoka. sasa wakishawaigiza mkenge wanarudi nyuma na kuwatumia wanaharakati ambao wao wanakubalika kuonekana kimataifa ili kuonesha kuwa pesa wanazopewa zinatumika ipasavyo. Sasa watalamu (Madaktari na walimu ) wanakuja kushtuka too late, sasa wafanyeje ndipo hulazimika kulazimisha hoja ambazo kisheria hazipo.
 
Naunga mkono hoja na ingewezekana huyo Ulimboka atekwe tena na kuuwawa ili kufidia wale waliopoteza ndugu zao wakati wa UJINGA wake yeye na WENZAKE

Naomba mimi niwe wa kwanza kujitokeza kumteka huyu Nduli mkubwa ambaye hawaonei huruma wanyonge ambao walikuwa wamelala pale Mahospitalini.
 
Back
Top Bottom