Waliofiwa na ndugu zao na walioteseka kwa kukosa matibabu wakati wa mgomo wanajipanga kwenda mahakamani kuwashtaki madaktari,kiongozi wa mgomo dr ulimboka na mat.wameshaonana na wakili na kesi itafunguliwa katika mahakama ya kisutu baada ya taraibu zote kukamilika. Source.mimi mwenyewe nimemsikia mwathirika mmoja akiongea na wakili wao.