marigy
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 341
- 402
Aya mkuu, bahat nzur sijalal bado hao watafiti wambie wamalizie basi nami nijue kuhusu chuo changu!!Hahahah si takwimu zangu hizi ni za watafiti
Aya mkuu, bahat nzur sijalal bado hao watafiti wambie wamalizie basi nami nijue kuhusu chuo changu!!Hahahah si takwimu zangu hizi ni za watafiti
Adi mimi nashangaa awajui kam chuo cha taiga kile itakua kuna tatizo kwenye hii renkMtoa mada sijaona chuo changu cha nit hapo ndo kusema kimezidiwa mpaka na akna teku, Kampala, Sebastian koloa and Co
PointlessIla UDOM imependelews..... ilistahili iwe ya mwisho
Kazi ya macho ni kuona wakati ubongo ni kutafsiri..! Sasa we macho hayafanyikazi vzuri..!UDSM 12098
Usiwe mpumbavu. UDSM ni ya 2098 siyo 12098. Utakuwa umesoma Mzumbe nafikiriUDSM 12098