Walioanza kuchimba Gesi na Mafuta enzi hizo ndio walifaidi na sio wanaogundua sasa kama Tanzania

MURUSI

JF-Expert Member
Jun 25, 2013
4,481
8,692
Ni ukweli kwamba Nchi za Waarabu wamefaidi mno Gesi na Mafuta na kwa sasa wameanza kuondoka huko na kuanza hata kujenga viwanda make wanajua wana muda mfupi sana wa kuendelea kufaidi.

Kwa sasa Nchi nyingi mno zimegundua either Mafuta au Gesi au vyote viwili.

Kwa Africa tu.
1. Tanzania
2.Msumbiji hawa ni gesi
3. SomaliLanda hawa ni gesi pia na mafuta kama sikosei.
4. Madagasca waligundua Gesi ya kufa mtu.
5. Uganda walisha anza sijui Kuchimba
6. Namibia
7. Ghana
8. South Africa
9.Moroco
10. Ivory Cost

List ni kubwa hapo zile zenye nayo kama Nigeria hazipo hapo.

Nje ya Africa kuna mataifa kama Brazili wenye uchumi mkubwa Duniani tiyari wana Chimba.
Nchi kama China zisha gundua hazina kubw Mno ya Gesi na mafuta.

USA wote hao wameanza kuuza gesi Ulaya.

Lisiti ni kubwa sana.

Mbaya zaidi Ulaya na Marekani wanaaza kuhama kwe ye gesi na maguta na kuanza kitumia nishati kama za Jua hii ni kwa sababu ya Mazingira.

Tutakuja kujikuta hatuna wa kumuuzia.
 
Mafuta na gesi bado yanahitajika sana dunia ya kwanza, huwezi kukosa soko.
Hata sisi tunahitaji nishati hizi zote.
Hata kama hatuna viwanda, lakini hivi vigari tunavyoviona humu nchini, vina hitaji sana mafuta. Gesi bado mahitaji ni mijini zaidi.
 
Mm naomba iwe nying tuu ili bei ipungue wote tumudu gharama za hiyo gesi.
Soko haliwez kuisha labda ije kutokea chanzo kingine cha nishat mbadala wake kwenye magar na ingine ambayo n gharama na fuu na isiyoharibu mazingira.
 
IMG_20191116_075755.jpg

Kisiwa cha Pemba chote ni mafuta tupu... Na unguja ni mafuta...

Tuna mitambo ina uitaji wa mafuta nchi hii MF. Magari, majenereta nk...

Hivyo huitaji wa mafuta ni mkubwa mno na idadi ya watu ina zidi kuongezeka kwa kasi mno...

Pale ilipo bandari ya Unguja na maeneo ya jirani kwenye uwekezaji wa mahoteli na apartments miradi mikubwa kuna hadhina ya mafuta...

Sasa hapa ni namna ya kupata hii rasilimali kwa manufaa yetu bila kujalisha kuwa nchi ngapi zina hii nishati...

Kuna kupunguza kiwango cha uingizaji wa mafuta na kuuza maana tulikuwa tuna nunua zaidi na kuathirika na mabadiliko ya soko la dunia...

Wataalam wanaweza weka taarifa vizuri
 
Back
Top Bottom