silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Wale wazee wa kikao cha siri huko mjini mwanza kwaajiri ya kuweka mazingira mazuri ya CCM kushinda wameongea na watanzania,, kilamtu alikuwa akijiumauma na kusingizia publicity, ,hivi hawa watu wakienda kule usiku haiwezekani kurudi usiku bila Watanzania kujua? hii ndo maana ya kikao cha siri..
Mr. Gachuma anasema hakuwepo lakini hajasema alikuwa wapi, na kwenye barua yupo iliyosainiwa na Mwanza municipal Council Director Mr. Wilson Kabwe,,
Ridhwani anasema ahukwepo akitoa sababu nyingi zisizo aminika
Rostam Azizi anasema alikuwa South Afrika,, akiwadanganya wananchi kuwa yeye ni mtu wa Safari wakati kipindi hicho kilikuwa cha lala salama kwenye kampeni,, na kwenye Barua nayeye yupo
Lakini katika |Woote walioongea Kikwete hajaongea kwasababu anaona aibu ile barua inaonesha kila kitu...
Watanzania hatudanganyiki kwasababu kilicho andikwa mule ndicho kilicho fanyika lakini mulishindwa tu kufauli missio yao kwasababu watanzania wameamua kubadilika sasa
Mr. Gachuma anasema hakuwepo lakini hajasema alikuwa wapi, na kwenye barua yupo iliyosainiwa na Mwanza municipal Council Director Mr. Wilson Kabwe,,
Ridhwani anasema ahukwepo akitoa sababu nyingi zisizo aminika
Rostam Azizi anasema alikuwa South Afrika,, akiwadanganya wananchi kuwa yeye ni mtu wa Safari wakati kipindi hicho kilikuwa cha lala salama kwenye kampeni,, na kwenye Barua nayeye yupo
Lakini katika |Woote walioongea Kikwete hajaongea kwasababu anaona aibu ile barua inaonesha kila kitu...
Watanzania hatudanganyiki kwasababu kilicho andikwa mule ndicho kilicho fanyika lakini mulishindwa tu kufauli missio yao kwasababu watanzania wameamua kubadilika sasa