Tanzania nchi ya amani kweli kweli lakini inayofuka moshi,siku mambo yakiharibika tutashangaa,kwani litatokea la kutokea na hatutakuwa tumejiandaa kukabiliana nalo kama mtindo wenyewe ndio huu.Viongozi wakuu wa nchi wanakuwa wenyewe huku walinzi wao wa karibu wakiwa mita 50 kutoka walipo hii haipendezi kabisa.Mazoea haya yatatugharimu siku moja.