Walinzi wa serikali wakiondoka nyumbani kwa aliyekuwa waziri mkuu wa Uganda

Kiongozi hii ndio AFRICA wakati huku mitaani tunadhani kung"ang"ania Mamlakani nikutokana na kutaka PESA lkn kunazaidi ta Pesa manake mtu km M7 na Genge lake cdhani km wanashida ya Pesa,,,!!

Wakiondoka madarakani zinakata Mzee. Kumbuka wamezipatia huko kiulani sana. Isitoshe hawawezi kujua atakaefata atawafanyia nn coz hela zao ni za kupiga. So wanaendelea kuwepo kulinda walichochuma isivyo halali.
 
M7 uganda ni urithi wake kutoka kwa babu. Hii ndiyo aina ya viongozi tulio nao afrika.

Aliingia madarakani kwa mtutu wa bunduki, na si kwa makaratasi. So hata kutoka kwake ni lazima iwe kwa mtutu wa bunduki pia otherwise atafia hapo. Hiyo ndio principle mkuu.
 
Muosha huoshwa,

Hawa Bahima waache wanyoshane. Wametoka mbali sana. Juzijuzi hapa 1998 walikuwa wanaiba Congo na kufagiliana sana. Mseveni, Mbambazi, Saleh (kaka yake mseveni) na Kazini. Na wenzao akina JJ Odong na Aronda (huyu aliyepelekwa serikalini kuhakikisha na wanayarwanda wanapewa vitambulisho vya uraia wa uganda).Wakaja wakatofautiana.
Wakasuka mpango wakamzunguka Kazini wakamtanguliza mbele za Haki. Wakaendelea, mwaka juzi wakataka wamtangulize mbele za haki Sejusa akashituka akakimbilia ulaya. Sasa Mseveni anataka kumtanguliza Mbambazi.
Itoshe kusema waliingia msituni viongozi 18. Mseveni ameongoza kwa kuwatanguliza mbele za haki wenzio sasa wamebaki sijui 5 hivi.
Mbambazi yeye anapinga sana MHOZA project anataka yeye awe rais na si Mhuza. Ndoo chanzo cha bifu lao.
 
Wakiondoka madarakani zinakata Mzee. Kumbuka wamezipatia huko kiulani sana. Isitoshe hawawezi kujua atakaefata atawafanyia nn coz hela zao ni za kupiga. So wanaendelea kuwepo kulinda walichochuma isivyo halali.

Duh,,,,,nimekuelewa,,,!!
 
M7 alitinga madarakani niko form one, ie 1986. Yaani Uganda nzima hamna mwingine zaidi yake. Pmbavu zake anakuja kuondoka kama swaiba yake gadafi.

Wewe sema taraaaaatibu asije kusikia .....kwani haugopi mambo yaliyomkuta Mbabazi.?
 
Wakiondoka madarakani zinakata Mzee. Kumbuka wamezipatia huko kiulani sana. Isitoshe hawawezi kujua atakaefata atawafanyia nn coz hela zao ni za kupiga. So wanaendelea kuwepo kulinda walichochuma isivyo halali.

Yaani hapo ndo unapoona kama vipi uwe kama Rick Mashaaaal....
 
Muosha huoshwa,

Hawa Bahima waache wanyoshane. Wametoka mbali sana. Juzijuzi hapa 1998 walikuwa wanaiba Congo na kufagiliana sana. Mseveni, Mbambazi, Saleh (kaka yake mseveni) na Kazini. Na wenzao akina JJ Odong na Aronda (huyu aliyepelekwa serikalini kuhakikisha na wanayarwanda wanapewa vitambulisho vya uraia wa uganda).Wakaja wakatofautiana.
Wakasuka mpango wakamzunguka Kazini wakamtanguliza mbele za Haki. Wakaendelea, mwaka juzi wakataka wamtangulize mbele za haki Sejusa akashituka akakimbilia ulaya. Sasa Mseveni anataka kumtanguliza Mbambazi.
Itoshe kusema waliingia msituni viongozi 18. Mseveni ameongoza kwa kuwatanguliza mbele za haki wenzio sasa wamebaki sijui 5 hivi.
Mbambazi yeye anapinga sana MHOZA project anataka yeye awe rais na si Mhuza. Ndoo chanzo cha bifu lao.

Kumbe kuna mambo nzito imeweza jificha ? duuu basi kila kitu kitaenda kuwa wazi muda si mrefu...let us stay tuned.
 
Ukiwa kwenye Ground huwezi kuona makosa ya mchezo,,,!!

Na hayo makosa ndo aliyafanya Zitto Kabwe kwa kutaka kugombea uenyekiti wa chama. Akili anayo nyingi ila alishindwa kufaulu namna ya kuzijua hulka za wamiliki wa chama. Ni vigumu sana kwa mchezaji kugundua makosa yake pindi awapo uwanjani.
 
Aje Agombee huku Tanzania kama Huko Uganda hawamtaki... Wahaya wa Uganda pia ni Watanzania.... Ninawagambira
 
Na hii ndio inaifanya Tz iheshimiwe kuliko nchi nyingine EA...hata kama ni ngumu kuing'oa CCM at least tuna uhakika Kikwete anaondoka next year...

Yani hawa wenzetu marais wao wamewageuza mazoba....mtu anataka afie ikulu
 
Back
Top Bottom