KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Bi Nuru Togwa(30) alikamwatwa na walinzi wa Nabii Mwingira baada ya kupita karibu na Shamba hilo na kupelekwa katika kambi yao na kukatwa Masikio yote mawili na kunajisiwa.
Bi Alesi Maarifa (77) naye alikamatwa na kuunguzwa na upanga wa moto sehemu za Siri na hadi leo matukio hayo yanaendelea:
Source: Gazeti ,Raia mwema ya Leo.
[h=2]Tuesday, December 27, 2011[/h]
Rais Jakaya Kikwete akipokea mchango wa shilingi milioni 10 kutoka kwa kiongozi wa kanisa la Efatha nchini, Mtume na Nabii, Josephat Mwingira katika harambee ya kuchangia Mfuko wa Maendeleo wa Mkoa wa Rukwa iliyoongozwa na Rais kwenye hoteli ya Kilimanjaro- Kempinski jijini Dar May 27, 2009. Zaidi ya shilingi bilioni 1.4 zilichangwa,Katikati ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
Bi Alesi Maarifa (77) naye alikamatwa na kuunguzwa na upanga wa moto sehemu za Siri na hadi leo matukio hayo yanaendelea:
Source: Gazeti ,Raia mwema ya Leo.
[h=2]Tuesday, December 27, 2011[/h]
Rais Jakaya Kikwete akipokea mchango wa shilingi milioni 10 kutoka kwa kiongozi wa kanisa la Efatha nchini, Mtume na Nabii, Josephat Mwingira katika harambee ya kuchangia Mfuko wa Maendeleo wa Mkoa wa Rukwa iliyoongozwa na Rais kwenye hoteli ya Kilimanjaro- Kempinski jijini Dar May 27, 2009. Zaidi ya shilingi bilioni 1.4 zilichangwa,Katikati ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.