Mwenye shati la kitenge cha njano na wenye suti nyeusi ndiyo wenyewe hao hebu waangalie vizuri walivyoshughulika. Ila binaadamu akitaka lake huwezi kumzuia.
Unakumbuka Reagan licha ya kuwa na FBI kibao ambao walikuwa wamejipanga strategically kuzuia hatari yo yote lakini jamaa alimuwahi na kumtwanga risasi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.