Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 217,997
Unataka afutwe kazi ? Athubutu aone..IGP anapaswa kutoa mrejesho kuhusu uchunguzi wa shambulizi la KIGAIDI dhidi ya mbunge Tundu Lissu.
Unataka afutwe kazi ? Athubutu aone..IGP anapaswa kutoa mrejesho kuhusu uchunguzi wa shambulizi la KIGAIDI dhidi ya mbunge Tundu Lissu.
mbusi weweeeBasi Alishambuliwa na hao walinzi.
blah blah mafi yako?Acha blah blah, leta dereva hapaaa!
Hawakutumia akili Ilitakiwa walinzi wawepo apigwe Hata risasi moja. Mkononi Hata kupiga risasi juuu mradi purukushani za kivita "eti watu wasiojulikana" Hata akili za kuvukia barabara zinatosha kujua nini kilifanyika..Area D eneo aliposhambuliwa TL ni makazi ya Naibu Spika Dr.Tulia na Waziri wa Nishati Dr.Kalemani.
..Kwa kawaida makazi ya viongozi wa ngazi za juu kama hayo hulindwa na askari wenye silaha.
..Pia kiutaratibu askari hao huwa hawaruhusu mtu yeyote yule kuingia ktk maeneo wanayoishi viongozi bila kutambuliwa na kufanyiwa ukaguzi.
..Mh.Tundu Lissu alishambuliwa kwa silaha za kivita akiwa ndani ya eneo la makazi ya viongozi.
..Wananchi tunapaswa kuelezwa waliomshambulia Mh.Lissu waliingia ktk makazi hayo kwa utaratibu upi
..Walinzi walikuwa wapi na walichukua hatua gani baada ya kuona shambulizi lile.
..Walitoa taarifa wapi, kwa nani, na wakati gani.
..Lakini kama kulikuwa hakuna walinzi tunapaswa kuelezwa ni kwasababu gani. Na walinzi hawakuwepo wakati wa shambulizi tu au wakati wote. Pia ni nani alichukua uamuzi wa kuondoa au kutokuweka walinzi kabisa.
Cc Mwanahabari Huru, Mag3, Nzi, Zanika, MTAZAMO, masopakyindi, Nyani Ngabu
Dereva wa Lissu ndiye atakeyejibu walinzi walipokuwa?Dereva wa Lissu yuko wapi kwanza?
Faili limepelekwa juu ili lije na maelekezo kutoka juu....
..hata mgonjwa naye ameanza kuhoji kuhusu ulinzi wa area D siku aliposhambuliwa.
..kwanini inachukua muda mrefu namna hii kupata majibu?
..walinzi walikuwa wapi? Au kwanini kulikuwa hakuna ulinzi?
Duuuh,hii kweli akili ya hapa na pale!mkuu walinzi wanalinda kwa boss husika na sio barabara ya lami ukiuliza swqli la hivo ina maana ulitaka watoke kitengo walicho ajiriwa (bossi wao) wafate milio ya risasi badala ya kumuangalia boss wako km yupo salama au laa!!
Tunakaribia kufikisha mwaka toka tukio hili litokee. Inavyoelekea eneo la tukio lilikuwa "coincidentally deserted". Hata majirani ambao walisikia milio ya risasi wakaja kushangaa kama ilivyo kawaida ya Watanzania nao hawakuwepo!
acha mjadala ongeza dua mh TL apone aje kuwa Rais wetu.Duuuh,hii kweli akili ya hapa na pale!
Alishaponaacha mjadala ongeza dua mh TL apone aje kuwa Rais wetu.
anauwezo wa kusimama masaa ya hotuba?Alishapona