mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
Kwani ww mwenzetu unalipwa sh ngapi? HADI UPATE MUDA WA KUANDAA HUO UJINGA?
Mshahara ni pamoja na lesson plan, kama hutaki si lazima uendelee kufundisha....kama unataka bado unataka kazi ya kufundisha (mwalimu) lesson plan ni lazima!!