Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
- Thread starter
- #201
Mimi nimekupata vizuri sana. Embu tupe tafsiri ya mwanafunzi, nimekosa hicho kitabu cha Sera ya elimuSiyo kweli hivyo ulivyosema. Isome vizuri Sheria ya Ndoa ya 1971 pamoja na kanuni zake.
IKO HIVI:-
1.Majority age ni miaka 18
2.Umri wa kuolewa kwa binti MTU mzima (adult) ni miaka 18 and above.
3.Lakini binti anaweza akaolewa hata akiwa na umri wa miaka 14 au zaidi, KWA RUHUSA/Idhini ya Wazazi wake TU.
PIA KWA MUJIBU WA SHERIA YA ELIMU TZ, Inasema hivi:-
4.Ni hatia kumuoa au kumuoza, kuwa na uhusiano naye wa kimapenzi na binti ambaye ni mwanafunzi, hata kama atakuwa na umri wa miaka 18 au zaidi.
NB: Soma tafsiri ya neno "mwanafunzi" ktk Sheria hiyo ya Elimu.