Waalimu walioanza kazi mwezi wa 12 mwaka jana wilaya ya mbinga hatujapatamshahara, ukiwauliza wahusika wanakuambia hawajatuma majina yetu mwezi uliopita tulipewa lakini haikubainika wazi kama ilikuwa ni pesa ya kujikimu au mshahara, tunaomba mamlaka zinazohusika ziweze kufuatilia kwani hali ni mbaya tunashindia matango, waziri Jaffo fuatiliaili katika wilaya yetu yaani waalimu wapya ni wanne tu wamepewa pesa wengine tuliosalia wametupiga.