Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,166
- 1,700
Serikali imetangaza mpya wa ajira za walimu 28,638 wa Shule za Msingi na Sekondari katika mikoa minane.
"wote tutawaajiri ,lakini safari hii hakuna ajira za mijini na wote watakao ajiriwa warapelekwa katika wilaya zenye changamoto kwa hiyo mtakwenda mikoa ya Katavi, Kigoma, Rukwa, Mbeya, Shinyanga, Manyara, Mtwara na Lindi"
Ajira hizo zitaanza Januari Mwakani.
"wote tutawaajiri ,lakini safari hii hakuna ajira za mijini na wote watakao ajiriwa warapelekwa katika wilaya zenye changamoto kwa hiyo mtakwenda mikoa ya Katavi, Kigoma, Rukwa, Mbeya, Shinyanga, Manyara, Mtwara na Lindi"
Ajira hizo zitaanza Januari Mwakani.