Walimu wanamsingizia kiuonevu mwanangu, je ni hatua gani nichukue kama mzazi?

Ipo hivi, mwanangu anasoma shule fulani English medium, mimi haya mambo ya schoolbus niliyakataa kabisa maana kuna wenzake wengi tu wanatembea na hata mimi baba yake siijui school bus maisha yangu ya elimu, ila pia niliona atembee tu ili kunyoosha miguu kwa afya yake.

Sasa pale shuleni kwao yeye yupo na wenzake wachache sana wenye utaratibu kama wake, yeye na wenzake wasiopanda schoolbus ama kufatwa na usafiri binafsi wakitoka shule huwa wanacheza mpira kiwanja cha shule fulani ya karibu na wenzao wa shule nyingine, watapiga piga stori njiani na michezo michezo mingine maana naona saizi anapenda kuruka sarakasi itakuwa labda alifundishwa huko huko.

Sasa naona huenda wenzake walikuwa hawapendi hii kitu, baadhi wakaanza kuwaambia wazazi wao kwamba wanaweza kwenda na kurudi kutoka shule bila school bus au usafiri binafsi kwa hiyo nao waanze kurudi nyumbani kivyao

Sasa baada ya hii ishu kwenda sana ndio baadhi ya wazazi wakafika shuleni na baada ya kuchuimbua chimbua ndio wakafikia hatua kudai mwanangu na marafiki zake wachache wanaoendaga nyumbani bila msaada ndio wanawatia sumu watoto wao.

Mwanangu nimeongea nae, yeye kasema hajashawishi yeyote kuacha kupanda schoolbus,

Sasa hapa binafsi kama mzazi naona mwanangu hana kosa na inabidi watengue hii kauli, nimepewa barua nifike Ijumaa
Mzazi,
Barua ya wito imeeleza sababu ya wewe kuitwa?
Umeanza kujihami kabla hujakutana na waliokuita,utaenda ukutane na swala la muhimu kuhusu mstakabali wa mwanao uje ushindwe kuleta mrejesho humu.
Kuwa mpole kasikilizie wito kwanza.
 
Muhamishe tu hapo mpeleke shule za uswazi.
Maana watoto wa masikini kuchanganyika na watoto wa kishua ni kuharibiana utaratibu.

Kama huwezi kufuata taratibu za shule ya watu si uwaachie shule yao?

Wazazi masukini huwa wakorofi sana na wabishi.
Ipo hivi, mwanangu anasoma shule fulani English medium, mimi haya mambo ya schoolbus niliyakataa kabisa maana kuna wenzake wengi tu wanatembea na hata mimi baba yake siijui school bus maisha yangu ya elimu, ila pia niliona atembee tu ili kunyoosha miguu kwa afya yake.

Sasa pale shuleni kwao yeye yupo na wenzake wachache sana wenye utaratibu kama wake, yeye na wenzake wasiopanda schoolbus ama kufatwa na usafiri binafsi wakitoka shule huwa wanacheza mpira kiwanja cha shule fulani ya karibu na wenzao wa shule nyingine, watapiga piga stori njiani na michezo michezo mingine maana naona saizi anapenda kuruka sarakasi itakuwa labda alifundishwa huko huko.

Sasa naona huenda wenzake walikuwa hawapendi hii kitu, baadhi wakaanza kuwaambia wazazi wao kwamba wanaweza kwenda na kurudi kutoka shule bila school bus au usafiri binafsi kwa hiyo nao waanze kurudi nyumbani kivyao

Sasa baada ya hii ishu kwenda sana ndio baadhi ya wazazi wakafika shuleni na baada ya kuchuimbua chimbua ndio wakafikia hatua kudai mwanangu na marafiki zake wachache wanaoendaga nyumbani bila msaada ndio wanawatia sumu watoto wao.

Mwanangu nimeongea nae, yeye kasema hajashawishi yeyote kuacha kupanda schoolbus,

Sasa hapa binafsi kama mzazi naona mwanangu hana kosa na inabidi watengue hii kauli, nimepewa barua nifike Ijumaa
 
Ipo hivi, mwanangu anasoma shule fulani English medium, mimi haya mambo ya schoolbus niliyakataa kabisa maana kuna wenzake wengi tu wanatembea na hata mimi baba yake siijui school bus maisha yangu ya elimu, ila pia niliona atembee tu ili kunyoosha miguu kwa afya yake.

Sasa pale shuleni kwao yeye yupo na wenzake wachache sana wenye utaratibu kama wake, yeye na wenzake wasiopanda schoolbus ama kufatwa na usafiri binafsi wakitoka shule huwa wanacheza mpira kiwanja cha shule fulani ya karibu na wenzao wa shule nyingine, watapiga piga stori njiani na michezo michezo mingine maana naona saizi anapenda kuruka sarakasi itakuwa labda alifundishwa huko huko.

Sasa naona huenda wenzake walikuwa hawapendi hii kitu, baadhi wakaanza kuwaambia wazazi wao kwamba wanaweza kwenda na kurudi kutoka shule bila school bus au usafiri binafsi kwa hiyo nao waanze kurudi nyumbani kivyao

Sasa baada ya hii ishu kwenda sana ndio baadhi ya wazazi wakafika shuleni na baada ya kuchuimbua chimbua ndio wakafikia hatua kudai mwanangu na marafiki zake wachache wanaoendaga nyumbani bila msaada ndio wanawatia sumu watoto wao.

Mwanangu nimeongea nae, yeye kasema hajashawishi yeyote kuacha kupanda schoolbus,

Sasa hapa binafsi kama mzazi naona mwanangu hana kosa na inabidi watengue hii kauli, nimepewa barua nifike Ijumaa
Aisee hii shule wana Changamoto ya kudeal na watoto. Au wanaendekeza tabia ya deko kwa wazazi.
 
Endeleza kipaji hicho cha ushawishi wewe safi sana . dogo kesha onyesha njia huyo ni Bonge la Rais... usije kuja hapa unalia oooh!! sijui kipaji cha mwanangu, zubaa uchekwe!

km unaona vepe niazime Mama yake Mtoto nimuelezee jinsi ya kuongea na waalimu wake!! ili wewe uendelee kuchapa kazi..nipe number hapa...
 
Huyo dogo hajawashawishi wenzake ilaa wenzake wanataka nao wawe wanaenjoy kucheza maana kila siku wanaadithiwa Utamuu yaniii... shule ilazimisheeee schoolbus
We Muongo!! au hujui!! sikia weye Mzee wa kula ki masihara!! dogo amewashawishi kisiasa, kisaikolojia,kisayansi ana nature ya convincing power!
 
Endelea kufuga jambazi la miaka ijayo
Mwalimu amsingizie kitu mtoto jwa uspesho upi alionao
Ipo hivi, mwanangu anasoma shule fulani English medium, mimi haya mambo ya schoolbus niliyakataa kabisa maana kuna wenzake wengi tu wanatembea na hata mimi baba yake siijui school bus maisha yangu ya elimu, ila pia niliona atembee tu ili kunyoosha miguu kwa afya yake.

Sasa pale shuleni kwao yeye yupo na wenzake wachache sana wenye utaratibu kama wake, yeye na wenzake wasiopanda schoolbus ama kufatwa na usafiri binafsi wakitoka shule huwa wanacheza mpira kiwanja cha shule fulani ya karibu na wenzao wa shule nyingine, watapiga piga stori njiani na michezo michezo mingine maana naona saizi anapenda kuruka sarakasi itakuwa labda alifundishwa huko huko.

Sasa naona huenda wenzake walikuwa hawapendi hii kitu, baadhi wakaanza kuwaambia wazazi wao kwamba wanaweza kwenda na kurudi kutoka shule bila school bus au usafiri binafsi kwa hiyo nao waanze kurudi nyumbani kivyao

Sasa baada ya hii ishu kwenda sana ndio baadhi ya wazazi wakafika shuleni na baada ya kuchuimbua chimbua ndio wakafikia hatua kudai mwanangu na marafiki zake wachache wanaoendaga nyumbani bila msaada ndio wanawatia sumu watoto wao.

Mwanangu nimeongea nae, yeye kasema hajashawishi yeyote kuacha kupanda schoolbus,

Sasa hapa binafsi kama mzazi naona mwanangu hana kosa na inabidi watengue hii kauli, nimepewa barua nifike Ijumaa
 
Ninachojua.
Shule(hana English Medium) sana sheria zao, kusafirishwa watoto ikiwa mojawapo kwa jili ya usalama. Yaani wamtoe kwako salama na wamrudishe kwako salama.
Hapo inaonekana wewe Mzazi umekiuka taratibu.
 
Umezaa ukiwa na umri mdogo sana ...sasa mmekutana wote watoto.wewe na mwanao wote bado ni watoto na ndo maana hata walimu wana kutreat kama mtoto. Ungekuwa mtu mzima. Walimu kama ndo ulichoandika kilivyo wasingefanya hivyo. Na pia wala usingekuja kuomba ushauri kwa jambo la kitoto kama hilo.
 
Back
Top Bottom