vunjajungu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 576
- 240
Salam wana jf
habari nilizozipata kutoka ndani ya ofisi za jiji ni kwamba walimu wote walioshiriki mgomo wanaondolewa kwenye kazi kukusanya takwimu,chanzo kinasema agizo hilo limetolewa na mkuu wa mkoa na kazi ya kubadili majina imeanza mara moja!
Swali:iweje watolewa walimu wa jiji tu na wala si mkoa mzima au nchi nzima?
Chanzo:mtumishi wa jiji la tanga.
habari nilizozipata kutoka ndani ya ofisi za jiji ni kwamba walimu wote walioshiriki mgomo wanaondolewa kwenye kazi kukusanya takwimu,chanzo kinasema agizo hilo limetolewa na mkuu wa mkoa na kazi ya kubadili majina imeanza mara moja!
Swali:iweje watolewa walimu wa jiji tu na wala si mkoa mzima au nchi nzima?
Chanzo:mtumishi wa jiji la tanga.