MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Chama cha kutetea haki na maslahi ya walimu Tanzania CHAKAMWATA kimelia kilio cha uchungu mkubwa sana kwamba kuna uonevu mkubwa sana unaofanywa na serikali ya awamu ya 5.
Kimedai kwamba serikali iliwadanganya kusitishwa KIKOKOTOO na FAO LA KUJITOA. Kwamba hivi vitu bado vipo na vinasubiri muda kuanza kutumika. Haya ni majibu waliyopewa na Waziri Jenister Muhagama na katibu mkuu wake wa wizara.
Walimu mliopigiwa simu kupitia kwa Waziri Jenister mkaambiwa kua mnapendwa mkafurahi jipimeni na fikirieni maisha na familia zenu.
Kimedai kwamba serikali iliwadanganya kusitishwa KIKOKOTOO na FAO LA KUJITOA. Kwamba hivi vitu bado vipo na vinasubiri muda kuanza kutumika. Haya ni majibu waliyopewa na Waziri Jenister Muhagama na katibu mkuu wake wa wizara.
Walimu mliopigiwa simu kupitia kwa Waziri Jenister mkaambiwa kua mnapendwa mkafurahi jipimeni na fikirieni maisha na familia zenu.