Tetesi: Walimu wa sekondari mjini mdogo wa Nanyamba wakumbana na haya mara baada ya matokeo yasiyoridhisha

imbu8

Member
Jan 27, 2018
45
32
Juzi kuna mdau alileta mada yenye kichwa cha habari kinachosomeka hivi Msitulaumu watu wa Lindi, Mtwara, Zanzibar, Tanga na Pwani kwamba tunafeli! Sababu ni hizi
Kwa sasa Inasemekana kuwa Afisa elimu wilaya ya Nanyamba Mkoani Mtwara amewataka walimu wa sekondari zilizopo wilayani mwake kujieleza ni kwanini wasichukuliwe hatua kutokana na matokeo yasiyoridhisha katika mitihani ya Taifa iliyofanyika Mwishoni mwaka jana.

Ikumbukwe kuwa Mkoa wa Mtwara umeshika nafasi ya 20 kati ya mikoa 31 katika Mitihani ya kidato cha nne mwaka jana na Wilaya ya Nanyamba imeshika nafasi ya 187 ya Halimashauri 195 nchini.Pia katika mitihani ya kidato cha pili Mkoa wa Mtwara umeshika nafasi ya 26 kati ya 26 Nchini.

Vipi huko uliko? Ni hatua gani iliyochukuliwa mpaka sasa kuboresha elimu?
Tuipe support serikali ya nini kifanyike ili kuboresha elimu yetu.

My take:Serikali ifanye utafiti wa kina nini kinasababisha matoteo yasiyoridhisha kwa mikoa hii kuliko kuwaweka walimu katika taharuki.
 
Walimu wana madai mengi na kama changamoto zao zikipuuzwa matokeo yatakuwa poor
 
Japo wnajitahidi(serkali) kufcha ziro ndani ya four ili kumuonesha mwalimu kuwa mgomo wake hauna mantiki!ila mwisho Wa siku serkali imboreshee mwalimu mazingira ya kaz pamoja na kumpa motisha zote!la sivo ........
 
Juzi kuna mdau alileta mada yenye kichwa cha habari kinachosomeka hivi Msitulaumu watu wa Lindi, Mtwara, Zanzibar, Tanga na Pwani kwamba tunafeli! Sababu ni hizi
Kwa sasa Inasemekana kuwa Afisa elimu wilaya ya Nanyamba Mkoani Mtwara amewataka walimu wa sekondari zilizopo wilayani mwake kujieleza ni kwanini wasichukuliwe hatua kutokana na matokeo yasiyoridhisha katika mitihani ya Taifa iliyofanyika Mwishoni mwaka jana.
Ikumbukwe kuwa Mkoa wa Mtwara umeshika nafasi ya 20 kati ya mikoa 31 katika Mitihani ya kidato cha nne mwaka jana na Wilaya ya Nanyamba imeshika nafasi ya 187 ya Halimashauri 195 nchini.Pia katika mitihani ya kidato cha pili Mkoa wa Mtwara umeshika nafasi ya 26 kati ya 26 Nchini.
Vipi huko uliko? Ni hatua gani iliyochukuliwa mpaka sasa kuboresha elimu?
Tuipe support serikali ya nini kifanyike ili kuboresha elimu yetu.
My take:Serikali ifanye utafiti wa kina nini kinasababisha matoteo yasiyoridhisha kwa mikoa hii kuliko kuwaweka walimu katika taharuki.
Hakuna suala la kutafuta mchawi,anaeiroga matokeo ya watoto sio mwalimu bali mfumo wenyewe wa elimu,hakuna MTU anayeweza kufanya kazi kwa moyo wote huku akiwa na majonzi tele ya kudhulumiwa,kuyotambuliwa thamani yake na kugandamizwa na mfumo mbovu.Hv kweli mwalimu anamfundisha mtoto lakini hata wale wanaopataa alama mbovu wakapata nafasi hata ya upolisi wanapoanza tu kazi wanapata maslahi mazuri na posho nzuri kumpita mwalimu wake aliyefanya kazi zaidi ya miaka 15, halafu bado useme walimu hawajitumi....
 
Back
Top Bottom