Esoterica
Member
- Jun 18, 2011
- 48
- 11
Wanafunzi wa Kidato cha 4 nchini kote watakuwa wakifanya MTIHANI WA TAIFA wa KUMALIZA KIDATO CHA 4 kuanzia tarehe 3/10/2011. Hivyo walimu kadhaa wa sekondari nchini kote watahusika kusimamia mtihani huo. Walimu wa Igunga nao watahusika kusimamia mtihani huo pia.
Kwa taratibu za NECTA walimu wanaosimamia mtihani wanapaswa kusimamia mtihani ktk shule ambazo siyo vituo vyao vya kazi. Hivyo walimu wengi tu wa shule za sekondari za Igunga watamepelekwa kusimamia mtihani ktk maeneo yaliyo mbali na shule zao kuanzia tarehe 2/10/2011 siku ambayo pia wanapaswa kupigakura katika kata zao huko Igunga. Nionavyo mie walimu hao wakipangwa kusimamia mtihani ktk kata za mbali watakosa haki yao ya kumchagua mbunge wanayemtaka.
Je itawezekanaje kuwarudishia walimu hao haki yao ya kumchagua mbunge wamtakaye?
Kwa taratibu za NECTA walimu wanaosimamia mtihani wanapaswa kusimamia mtihani ktk shule ambazo siyo vituo vyao vya kazi. Hivyo walimu wengi tu wa shule za sekondari za Igunga watamepelekwa kusimamia mtihani ktk maeneo yaliyo mbali na shule zao kuanzia tarehe 2/10/2011 siku ambayo pia wanapaswa kupigakura katika kata zao huko Igunga. Nionavyo mie walimu hao wakipangwa kusimamia mtihani ktk kata za mbali watakosa haki yao ya kumchagua mbunge wanayemtaka.
Je itawezekanaje kuwarudishia walimu hao haki yao ya kumchagua mbunge wamtakaye?