Je tukubali kuwa kura zao zimepotea?
Jamaa amekuja na hoja muhimu. Tume ya Uchaguzi ishughulikie suala hili ipasavyo. Kwa hali ilivyo Igunga ya Shinyanga yanaweza kujirudia. Kila kura ichukuliwe kwa uzito unaostahili.
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza.
Jamaa ametoa hoja nyeti sana,mimi ni msimamizi wa mitihani hiyo pia<sio Igunga>,kifupi uwezekano wa walimu hao kupiga kura utakuwa mdogo saana,hii ni changamoto nyingine kwa tume ya uchaguzi
pumba tupu! why walimu?
Kwa kuwa ni haki yao kupiga kura, na vituo vya kupigia kura vipo across Igunga na anayechaguliwa ni huyo huyo, basi watafutiwe vibali vya kupigia kura katika vituo watakavyokuwa karibu navyo kulingana na kama watakavyopangwa kusimamia mitihani....! Kama vile wasimamizi wa kura wanavyofanyiwa...!Mkuu,
Ni kweli kura zao ni muhimu lkn wanaweza wakapelekwa kwa magari ya serikali na wakalazimika kuondoka makao makuu ya wilaya asubuhi ya j2 wakipelekwa walikopangiwa kusimamia mtihani. Je wafanyeje?