julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 2,606
- 3,399
na wamejenga na wanajua kuitafuta hera kushinda wewe uliyesomakati ya walimu 100 wa msingi wenye masters 0.1%, 1.5% digrii za open, saut, makumira na Jordan 18% wana diploma za taasisi ya elimu ya watu wazima, bagamoyo kuna kichuo fulani, kange, nk.
76% ni gredi IIIA na wengine wamo mkeja na darasa la saba wengi sana waliajiliwa 2000& 2001!
wengi wanajaribu kuristi wanachezea miswaki sana na tunakula sana hela zao na wengine tunawapiga machine ili tuwasovie vishazi vikurupushi.
elimu za walimu wa msingi ni sawa na polisi tu.