mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,178
- 3,436
Kuna kila sababu elimu yetu kushuka...kma walimu ndio HIVI....mmmh
History F ngapi ndugu?Jmn na mie ntumien ya history plz
mwl wa kike awe single, nitampa 1-3 Eng.
pm me, plz. hahaha
Nifoadie 1-4juliasfesto@yahoo.com mkuu naomba ya geography1-4
Utapata Hist1Mimi nahitaji ya history f5 hist2
hujielewi wewe we unadhani scheme of work ndio zinashusha elimu? sera mbovu za elimu ndio chanzo..scheme zilikuwepo tangu enzi za uhuru ila wasomi wetu hata nepi wanaagiza china..tafakari.Kuna kila sababu elimu yetu kushuka...kma walimu ndio HIVI....mmmh
Mkuu ukiipata hiyo bios f3 nijuze na mimiMkuu nitumie ya biology kidato cha tatu na nne na chemistry kidato cha tatu na nne
Acha dharau . Hayaitwi madubwasha.Kwanini msijadiliane na pengine mfungue nyuzi za masomo husika kuandaa hayo madubwasha yenu kwa njia ya kujadiliana, hamuoni kama mtafaidika kwa kuunda ka network ka walimu katika kujiimarisha. Maoni yangu tu hayo.
Ndg zangu nitumieni namba zenu za whatsapp huku network inasumbua
Mkuu kuna PM nimekutumiaHoya nitumie hizo za biology 1-4 nitakupoza mkuu. Seriously.
Hapana bado, nimeamua kukomaa kuchapa tuUtapata Hist1
Mkuu ukizipata nitumie na Mimi piaMkuu kuna PM nimekutumia
Sawa kiongoziAcha dharau . Hayaitwi madubwasha.
nitakupaje bila pm mkuu
Nazitaka bila PM
Kaka naomba kama umepata hzo scheme naomba ntumie na mimiHabarini wadau. Mimi nahitaji ya biology na chemistry form 3&4