evonik
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 3,998
- 5,130
Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu amesema Serikali inakusudia kuandaa mfumo wa kielektoniki wa alama za vidole kwa ajili ya kuhakiki mahudhurio ya Walimu Mashuleni kwenye Shule za Msingi na Sekondari katika Halmashauri zote nchini ili kudhibiti mahudhurio ya Walimu Mashuleni.