dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Walimu wa shule za msingi na sekondari nchini wametanzaza mgogoro na serikali wakiwa na dhamira kubwa ya kugoma kama madai yao ya maingi hayatatimizwa ikiwa ni pamoja na nyongeza za mishahara kutokana na kupandishwa madaraja, malimvikizo ya madeni wanayodai serikali, fedha za likizo, fedha za uhamisho toka kituo kimoja hadi kingine, nk
Sasa nao wanaweza kugoma mda wowote kuanzia sasa.
Sasa nao wanaweza kugoma mda wowote kuanzia sasa.