maguzu masese
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 283
- 139
Mpaka
sasa walimu wa mwanza hawajalipwa mishahara yao,wale watoto wakike
waliopanga kama Malia Malulu wamefukuzwa kwenye nyumba na wanaishi kwa
wapenda dezo kwa malipo ya ngono...,serikali kimya!!yeyote anayeweza
kuikopesha afanye halahala...angalau mtoto wa rais kikwete kwani
mishahara yao ni kiduchi tu.Kwa sababu kwa jinsi ukimwi ulivyo tapakaa wanajifia taratibu pamoja na msongo wa Mawazo.
sasa walimu wa mwanza hawajalipwa mishahara yao,wale watoto wakike
waliopanga kama Malia Malulu wamefukuzwa kwenye nyumba na wanaishi kwa
wapenda dezo kwa malipo ya ngono...,serikali kimya!!yeyote anayeweza
kuikopesha afanye halahala...angalau mtoto wa rais kikwete kwani
mishahara yao ni kiduchi tu.Kwa sababu kwa jinsi ukimwi ulivyo tapakaa wanajifia taratibu pamoja na msongo wa Mawazo.