Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ifike mahala walimu mjitafakari na kujitathmini yaani kila siku hamuishi kulalamika hivi kwani hamna uongozi?Ninafurahi kujiunga na jamii forum,niende moja kwa moja kwenye hoja,tulisahisha mitihani ya mock mwezi wa 6 baada ya hapo tukaambiwa tutalipwa mpaka leo tumedai kwa Afisa elimu kimya
Mliokuwa Mnafanya Hiyo Kazi Ni Wa Morogoro TuMkoa mzima hatujalipwa bado,cha ajabu tulikopa kwa kujua tukilipwa tunalipa madeni
Huu mtihani wakuu waliambiwa wawakipie wanafunzi ikiwa kila mwanafunzi analipiwa elfu 8 sasa jiulize mkoa mzima unawanafunzi wangapi,pesa hizo ni kwa kudurufu mitihani na usahihisha wa mitihaniSiku zote huwa najiuliza kwa nini mnasahisha mitihani kwa pesa? Hilo ni jukumu lenu kulingana na taaluma yenu. Kwa hiyo wanajeshi au polisi wakitaka wasafishe bunduki nao wadai kulipwa?
Acheni ujinga fanyeni bure hilo ni jukumu lenu mnatakiwa kulipenda.
Tulikwenda mpaka ofisi ya Afisa elimu wa mkoa wakatwambia tusubirie mfumo wa malipo ufunguke yaani hadi leo hii tukiwakumbushia wanasema eti bado
Siku zote huwa najiuliza kwa nini mnasahisha mitihani kwa pesa? Hilo ni jukumu lenu kulingana na taaluma yenu. Kwa hiyo wanajeshi au polisi wakitaka wasafishe bunduki nao wadai kulipwa?
Acheni ujinga fanyeni bure hilo ni jukumu lenu mnatakiwa kulipenda.
Mtalipwa Haki YenuNdio,wa morogoro tuu
Chizi maarifa wewe! Ungeuliza ufafanuliwe kuliko kuleta haya mashudu.Siku zote huwa najiuliza kwa nini mnasahisha mitihani kwa pesa? Hilo ni jukumu lenu kulingana na taaluma yenu. Kwa hiyo wanajeshi au polisi wakitaka wasafishe bunduki nao wadai kulipwa?
Acheni ujinga fanyeni bure hilo ni jukumu lenu mnatakiwa kulipenda.
Eti mfumo haujafunguka! Kwani unajigungua wenyewe ?Mkuu kuwa na subira , ni kweli mfumo Wa malipo tokea mwezi wa saba haujafunguka. Hata huku Handeni watu tunamadai mbalimbali ila mfumo wa malipo unasumbua
Siku zote huwa najiuliza kwa nini mnasahisha mitihani kwa pesa? Hilo ni jukumu lenu kulingana na taaluma yenu. Kwa hiyo wanajeshi au polisi wakitaka wasafishe bunduki nao wadai kulipwa?
Acheni ujinga fanyeni bure hilo ni jukumu lenu mnatakiwa kulipenda.
Walimu wa Tanzania mmezidi unyonge na mbaya zaidi hamna umoja ndani na wengi wenu ni wanafki na mamluki wa serikali.Ninafurahi kujiunga na jamii forum,niende moja kwa moja kwenye hoja,tulisahisha mitihani ya mock mwezi wa 6 baada ya hapo tukaambiwa tutalipwa mpaka leo tumedai kwa Afisa elimu kimya