Ukimkamata mwanafunzi kwenye chumba cha mtihani na unathorized material basi kabla hujamtoa mwanafunzi kwenye chumba cha mtihani au kumfutia matokeo basi ni haki ya mwanafunzi kwamba ujiridhishe kama alikitumia kibomu hicho kwenye mtihani? Uwe na ushahidi na sio hearsay za kutonywa kama Kibatala alivyotonywa na Prof Jay.
Kwa wanafunzi waliofutiwa mitihani na watakaofutiwa mitihani fungueni kesi mahakamani kwa kuzingatia kesi hii ya Bw Freeman Mbowe
Jaji Tiganga ni noma. Anasema Haki lazima itendeke na ionekane kuwa imetendeka
Kwa wanafunzi waliofutiwa mitihani na watakaofutiwa mitihani fungueni kesi mahakamani kwa kuzingatia kesi hii ya Bw Freeman Mbowe
Jaji Tiganga ni noma. Anasema Haki lazima itendeke na ionekane kuwa imetendeka