Dumelang
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 3,194
- 5,598
Weww upo wapkuna mwl anataka kuhama kutoka mkuu secondary kwenda mkoa wa morogoro aliye tayari pm nikupe detail
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weww upo wapkuna mwl anataka kuhama kutoka mkuu secondary kwenda mkoa wa morogoro aliye tayari pm nikupe detail
Unataka kwenda lushoto? niambie ulipo then nitafute humu.....0789229795...
Wadau nipo Manispaa ya Ilala nataka kuhamia sehemu yeyote isiyo na umeme, maji na barabara..
wewe Mbiirwa, acha utani, watu tuko serious bhana! njoo Tarime nami nije hapo ilala!
Weww upo wap
kuanzia 15/01/2014.....unahamia wapi mdau?Majina ya uhamisho yanatolewa lini wadau?
kuanzia 15/01/2014.....unahamia wapi mdau?
Majina ya uhamisho yanatolewa lini wadau?
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 31/12/2013 watashughulikia muda gani ili watoe siku hiyo hiyo? Hebu soma hapo chini kwa uhamisho wa Desemba 2012tar 31/12/2013 wanatoa majina kwa wote walio omba kuhama ktk kipindi cha July-15,December.Omba Mungu uwe umekidhi vigezo utahama tu.
Msikate tamaa ndugu, mimi kupitia utaratibu huu nimepata mtu wa kubadilishana nae. Mimi natoka Mwanga, Kilimanjaro na nabadilishana na mtu kutoka wil