FROM A FRIEND:-

Afisa kilimo II, Njoo MBEYA yeye aje IRINGA.

Anamfata Mumewe.

Ni PM NIWAUNGANISHE.

Sorry for INCONVENIENCE.

#YNWA.
 
Wakuu salama.
Mwalimu wa shule ya msingi aliyetayali kubalidishana ktuo cha kazi kutoka shinyanga mjini kwenda Tanga Mjini Shule ya Msingi saruji .
aliye tayari tuwasiliane 0786105531
 
Mwalimu sekondari aliye tayari kubadilishana kitu cha kazi aje shinyanga mjini( manispaa) nije mkoa Kilimanjaro halimashauri ya wilaya ya same ( vijijini) tuwasiliane .
 
Tafadhali ndugu walimu kuna mdogo wangu amemaliza form 4 mwaka jana, ni mda mrefu hatujawasiliana lakini leo kanambia amesikia kuwa kachaguliwa chuo cha uwalim moshi, tafadhali mwenye mwongozo wa selection za uwalim ngazi ya cheti anipe a,b,c maana kanambia niserch ili ajue kapangwa wapi,
 
Tafadhali ndugu walimu kuna mdogo wangu amemaliza form 4 mwaka jana, ni mda mrefu hatujawasiliana lakini leo kanambia amesikia kuwa kachaguliwa chuo cha uwalim moshi, tafadhali mwenye mwongozo wa selection za uwalim ngazi ya cheti anipe a,b,c maana kanambia niserch ili ajue kapangwa wapi,
Mm ninaomba kuuliza jamani ivi kwa sasa hata ukipata wa kubadirishana nae serikakali watakubalia uhame maana mm nimempata ila naambiwa na mkurugenzi wangu kuwa uhamisho umezuiliwa.... Naomba msaada waaana forum
 
Back
Top Bottom