peter daudi
Senior Member
- Sep 16, 2012
- 112
- 30
TANGAZO
- Njoo MULEBA-KAGERA nije wilaya yoyote Mikoa ya
2. SONGWE
- Idara ni; sekondari
- MAWASILIANO: 0659681392/0759410327
Habari. Nina mtu yuko chalinzi yeye ni wa msingi. Anaweza badilishana na wa kahama. Twaweza jaribu kwani wote ni walimu sidhani kama kuna kipingamizi sana kwenye taaluma moja.Wandugu habari...?nina dada yangu yupo kahama mwl.wa sec,anataka mtu wa kubadilishana naye wa pwani(kibaha,kisarawe,chalinze,bagamoyo) au wa dsm
Moro wilaya gani?njoo Songea nije Morogoro, Iringa au Mbeya. idara sekondari
0788325376
Nina Shaka Na uelewa wako, hebu niambie kwanini unakula ilihali Jana pia ulikula? Ukijibu hilo nitakujibu jibu linalokufaa
Njoo Tanga jiji aje
Kibaha
Moro town
Dar
Nicheki 0713142568
Idara ni secondary