SELEMANI2012
New Member
- Jan 20, 2012
- 1
- 0
Kuna uhalali wowote walimu wa Bukoba manispaa wa kulipishwa sh.10.000 kwa ajili yq vitambulisho katika zoezi la kuhakiki watumishi au ni mradi wa watu wachache wenye uchu wa pesa.Hii ilitokea trh 12/01/2012.Ili mwalimu ahakikiwe sharti awe na kitambulisho cha mkurugenzi wale wasiokuwa nacho walilazimika kulipia sh.10,000 badala ya sh.4,000.