WALIKUWA WANAKUITA NICK NAME GANI KIPINDI UPO SHULE?

Mr. Corruption, kiranja wa Debate , Shule moja ya Seminari Maarufu. Ukiongea kiswahili nikakumata ni either ulete pesa kidogo au nikukatie ardhi ya kupalilia Orchard kilomita za mraba za kutosha.
Nilitegemea Mr.korupsheni ukomenti Kiingilishi kabla nawewe sijakupa ban😁
 
Waliniita mwarabu wa dubai
Mimi ni black, enzi hizo mpoki wa orijino comed anajiita hivyo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom