WALIKUWA WANAKUITA NICK NAME GANI KIPINDI UPO SHULE?

Chupayamaji

JF-Expert Member
Sep 19, 2017
5,785
13,538
Nakumbuka mi nlikuwa naitwa mwarabu koko
Screenshot_20190509-061147.jpeg
 
mi walikuwa wananiita shika shika shule ya msingi nilikuwa navishika sana visichana mapaja darasani kipindi kile
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom