Walijua ingekuwa kama alivyonyamaza Dr. Ulimboka

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,080
103,312
Mziki wa huyu jamaa ni mziki wa roho ya paka. Hanyamazi,ukiweka ugoko anaweka chuma. Haachi neno au kijineno kikapita.

Tundu Lissu amevuka death row(mstari wa kifo) na amekuwa jasiri kuliko mwanzo. Sanasana atakupanikisha tu. Sote tumeona balozi Masilingi alivyoaibika katika kiwango cha SGR

Wauaji walidhani angenyamaza kama Dr.Ulimboka kumbe waapi wamefungulia mzinga wa nyuki.

Wangekuwa na uelewa kama wangu wangejua wanashindana na Mungu. Mungu amefanya muujiza kumuokoa kiumbe wake lakini bado muuaji unaleta jeuri.

Damu ya mtu haipotei hivihivi
 
Mziki wa huyu jamaa ni mziki wa roho ya paka. Hanyamazi,ukiweka ugoko anaweka chuma. Haachi neno au kijineno kikapita.

Tundu Lissu amevuka death row(mstari wa kifo) na amekuwa jasiri kuliko mwanzo. Sanasana atakupanikisha tu. Sote tumeona balozi Masilingi alivyoaibika katika kiwango cha SGR

Wauaji walidhani angenyamaza kama Dr.Ulimboka kumbe waapi wamefungulia mzinga wa nyuki.

Wangekuwa na uelewa kama wangu wangejua wanashindana na Mungu. Mungu amefanya muujiza kumuokoa kiumbe wake lakini bado muuaji unaleta jeuri.

Damu ya mtu haipotei hivihivi
Haya majitu yana roho ya Mfalme Sauli mkuu aliyetaka kumwua kijana Daudi - hakujua kuwa alikuwa akipambana na nguvu ya Mungu - unashangaa mpaka muda huu majitu hayaelewi kuwa yanaenda kuanguka!
 
Vipi anakutana lini na TRUMP?.. Interview ndo zimeshaisha hivyo, sana sana amebakia kushangaa maghorofa Washington D.C. Sasa hivi yupo anajiuliza moyoni ninaanzaje kurudi nyumbani na huku nimeshaharibu??., kazi imebaki kwake peke yake nyie wapiga debe wa mitandaoni hamjui anavyojiuliza namna ya kurudi, na huku kashaliwa timing watu wanahesabu siku tu avuliwe ubunge na ndo mwisho wake kisiasa. Ni sawa na mtu ambaye huwa anaongea kwa jeuri mchana mbele za watu, kuwa hakuna Mungu na kejeli kibao, ila huwa giza likiingia akabaki mwenyewe chumbani anaanza kuogopa na kusema Mwenyezi Mungu naomba nisamehe kwa makosa niliyoyafanya. Waliomponza Lissu mpaka akapigwa risasi ni vijana wa mitandaoni mnaomvimbisha kichwa akajiona mjanja. Na mtakaomponza mara nyingine ni vijana wa humu humu mitandaoni. Very soon tutasahau habari zake, kuna mtu alitamba humu kama Edward Lowassa??,.. Na interview za Lissu ndo zimeshaisha hivyo, Dunia haiwezi kusimama hata siku moja sababu ya mpuuzi mmoja anaitwa Lissu, maisha yanaendelea kama kawaida.Lissu hakufunzwa na mama yake, very soon atafunzwa na ulimwengu kama bado hajajifunza mpaka dakika hii.Muda ukifika mtaelewa maana ya haya niliyosema.Endeleeni kumtia ujinga.
 
Vipi anakutana lini na TRUMP?.. Interview ndo zimeshaisha hivyo, sana sana amebakia kushangaa maghorofa Washington D.C. Sasa hivi yupo anajiuliza moyoni ninaanzaje kurudi nyumbani na huku nimeshaharibu??., kazi imebaki kwake peke yake nyie wapiga debe wa mitandaoni hamjui anavyojiuliza namna ya kurudi, na huku kashaliwa timing watu wanahesabu siku tu avuliwe ubunge na ndo mwisho wake kisiasa. Ni sawa na mtu ambaye huwa anaongea kwa jeuri mchana mbele za watu, kuwa hakuna Mungu na kejeli kibao, ila huwa giza likiingia akabaki mwenyewe chumbani anaanza kuogopa na kusema Mwenyezi Mungu naomba nisamehe kwa makosa niliyoyafanya. Waliomponza Lissu mpaka akapigwa risasi ni vijana wa mitandaoni mnaomvimbisha kichwa akajiona mjanja. Na mtakaomponza mara nyingine ni vijana wa humu humu mitandaoni. Very soon tutasahau habari zake, kuna mtu alitamba humu kama Edward Lowassa??,.. Na interview za Lissu ndo zimeshaisha hivyo, Dunia haiwezi kusimama hata siku moja sababu ya mpuuzi mmoja anaitwa Lissu, maisha yanaendelea kama kawaida.Lissu hakufunzwa na mama yake, very soon atafunzwa na ulimwengu kama bado hajajifunza mpaka dakika hii.Muda ukifika mtaelewa maana ya haya niliyosema.Endeleeni kumtia ujinga.
Endelea kujidanganya. Nani aliamini hapo mwanzo, wakati watu wakilalamikia udikteta, kuwa siku moja mtawala angefikia kuonekana ni mtawala hovyo kiasi cha kunyimwa misaada?

Unakumbuka alivyofurahi na kujisifu wakati boss wa WB alipokuja, hata akasema haijawahi kutokea? Akafurahia misaada aliyoahidiwa, halafu ghafla hakuna kitu. Leo hakuna pesa
Ili kuendelea kuhema, wamebakia kuwanyang'anya matajiri hela kwa nguvu kwa kuwabambikizia kesi za uhujumu uchumi na kuwateka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kujidanganya. Nani aliamini hapo mwanzo, wakati watu wakilalamikia udikteta, kuwa siku moja mtawala angefikia kuonekana ni mtawala hovyo kiasi cha kunyimwa misaada?

Unakumbuka alivyofurahi na kujisifu wakati boss wa WB alipokuja, hata akasema haijawahi kutokea? Akafurahia misaada aliyoahidiwa, halafu ghafla hakuna kitu. Leo hakuna pesa
Ili kuendelea kuhema, wamebakia kuwanyang'anya matajiri hela kwa nguvu kwa kuwabambikizia kesi za uhujumu uchumi na kuwateka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mi naongea ya Lissu, World Bank wamekatalia ela mbona miradi yote inaendelea?, mwezi mei project ya Stigler's Gorge inaanza rasmi pamoja na kelele zote. Mtafute Engeneer yoyote muulize kuhusu project za TARURA zinavyokimbia nchi nzima na zamu hii wanalipwa CASH hawakopeshwi.. Tatizo mmekaririshwa na wanasiasa, mwaka jana mwezi wa nne nilikutana na mchaga mmoja CHADEMA akawa anaongelea uchumi akiamini baada ya wiki tatu kuanzia pale nchi ingeanguka kabisa kiuchumi. Kwa kukusaidia tu ni kwamba nchi zote unazoona anazungukia Lissu zina wawakilishi mabalozi hapa nchini Tanzania, na ka google vizuri kazi ya balozi kwenye nchi nyingine. Hakuna anachokisema Lissu ambacho hawakifahamu hata kimoja. Tayari wana conclusion yao kuhusu anayoongea ndo maana tunawaambia kuwa anajisumbua tu. Mkuu kwa hiyo unaamini kabisa kutoka moyoni serikali haina pesa??.. Hebu kafanye research ya uliyoyaandika halafu urudi tena.Inaonekana unaamini sana habari za vijiweni.
 
Lissu The Greatest

Alhamdullilah. Namshukuru Allah kwa kuendelea kumpa Tindu Lisu afya njema. Natoa indhari Lisu asibweteke hata kidgo. ijapokuwa kwa sasa yuko Amerika na pengine baada ya mda mfupi atarudi Belgium kwa matibabu zaidi. Kuna haja na umuhimu wa kuimarisha ulinzio na usalama wa lisu huko huko aliko kwa sababu siku zote watu wabaya huapnga mikakati inayoweza kulketa matokeo kwa mutunmia mbinbu na ujanja.
Ninawazo hawa wabaya wa TL wanaweza kushirikiana na kagame ili kukamilisha nia ovu dhidi ya lisu. cjui kwa nini nianapata wasi wasi huo. Mtakumbuka kuwa kuna mpinzani mmoja wa kagame aliuliwa ubelgiji na mashushushu wa kagame baada ya mpinzani yule kukorofishana na kagame kule kigali na akaamua kukimbilia ubelgiji akaamini kuwa yuko salama. Mpinzani wa kagame mwengine aliuliwa kwenye hotel Cape town na maafisa usalama wa kagame. Sasa hali ili pokfikia , ni mbaya kwa tz , inaonesha serikali na CCM wamekerwa sana na TL na wako tayari kufanya lolote hata kuamua kuomba msaada wa kagame ili wakamilishe uovu wao wa kummaliza TL. Ndiyo maana nasema chadema waendelee kuimarisha ulinzi wa TL kadri inavyowezekana. Tahadhari ni muhimu.
 
Alhamdullilah. Namshukuru Allah kwa kuendelea kumpa Tindu Lisu afya njema. Natoa indhari Lisu asibweteke hata kidgo. ijapokuwa kwa sasa yuko Amerika na pengine baada ya mda mfupi atarudi Belgium kwa matibabu zaidi. Kuna haja na umuhimu wa kuimarisha ulinzio na usalama wa lisu huko huko aliko kwa sababu siku zote watu wabaya huapnga mikakati inayoweza kulketa matokeo kwa mutunmia mbinbu na ujanja.
Ninawazo hawa wabaya wa TL wanaweza kushirikiana na kagame ili kukamilisha nia ovu dhidi ya lisu. cjui kwa nini nianapata wasi wasi huo. Mtakumbuka kuwa kuna mpinzani mmoja wa kagame aliuliwa ubelgiji na mashushushu wa kagame baada ya mpinzani yule kukorofishana na kagame kule kigali na akaamua kukimbilia ubelgiji akaamini kuwa yuko salama. Mpinzani wa kagame mwengine aliuliwa kwenye hotel Cape town na maafisa usalama wa kagame. Sasa hali ili pokfikia , ni mbaya kwa tz , inaonesha serikali na CCM wamekerwa sana na TL na wako tayari kufanya lolote hata kuamua kuomba msaada wa kagame ili wakamilishe uovu wao wa kummaliza TL. Ndiyo maana nasema chadema waendelee kuimarisha ulinzi wa TL kadri inavyowezekana. Tahadhari ni muhimu.
Kila hoja nzuri ya ulinzi itafanyiwa kazi
 
Mwijage na Masilingi wananifanya nisitaje jina langu kamili mbele za watu kudisclose my tribe aseeh..!!

Nimeangalia video ya Lissu na huyu balozi wetu, kiukweli kama binadamu nilie kamili, nime muonea huruma balozi wetu, ana tia huruma mnoo. so sad maana hata kujieleza kwakwe shida kidogo
 
Vipi anakutana lini na TRUMP?.. Interview ndo zimeshaisha hivyo, sana sana amebakia kushangaa maghorofa Washington D.C. Sasa hivi yupo anajiuliza moyoni ninaanzaje kurudi nyumbani na huku nimeshaharibu??., kazi imebaki kwake peke yake nyie wapiga debe wa mitandaoni hamjui anavyojiuliza namna ya kurudi, na huku kashaliwa timing watu wanahesabu siku tu avuliwe ubunge na ndo mwisho wake kisiasa. Ni sawa na mtu ambaye huwa anaongea kwa jeuri mchana mbele za watu, kuwa hakuna Mungu na kejeli kibao, ila huwa giza likiingia akabaki mwenyewe chumbani anaanza kuogopa na kusema Mwenyezi Mungu naomba nisamehe kwa makosa niliyoyafanya. Waliomponza Lissu mpaka akapigwa risasi ni vijana wa mitandaoni mnaomvimbisha kichwa akajiona mjanja. Na mtakaomponza mara nyingine ni vijana wa humu humu mitandaoni. Very soon tutasahau habari zake, kuna mtu alitamba humu kama Edward Lowassa??,.. Na interview za Lissu ndo zimeshaisha hivyo, Dunia haiwezi kusimama hata siku moja sababu ya mpuuzi mmoja anaitwa Lissu, maisha yanaendelea kama kawaida.Lissu hakufunzwa na mama yake, very soon atafunzwa na ulimwengu kama bado hajajifunza mpaka dakika hii.Muda ukifika mtaelewa maana ya haya niliyosema.Endeleeni kumtia ujinga.
Hapo uliposema waliomponza Lissu akapigwa risasi ni vijana wa Mitandaoni? Unataka kusema nini mkuu? Unajua lolote kuhusu aliyempiga Risasi Lissu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu azidi kuwa upande wake lissu, na waliotenda kitu kiovu juu yake Mungu awaumbue kweupe
 
Back
Top Bottom