Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,063
- 22,755
Waliitwa wapiganaji ndani ya CCM na wakawa ndio tumaini la CCM katika uvuaji magamba, je imetokea nini ? Mbona hawako Igunga kwenye uwanja wa mapambano na badala yake walioitwa mafisadi ndio wanatamba ? Naomba maoni ya wakereketwa humu ndani wanisaidie kulitatua hili fumbo, imekuaje hadi hawa wapiganaji hatuwasikii tena ?
Je wametupa silaha chini au yenyewe ndio magamba na sasa yamevuliwa ?