Wambandwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 2,249
- 830
Igunga ni ya rostam kwa hiyo kama rostam aliona nape na wenzake walimtukana basi ametoa mashariti kuwa waliomtukana wasifike vinginevyo hatashiriki. Ccm wanakete chache za kucheza njia zote walizobaki nazo si salama. Hii ya kutokwenda inwapa unafuu maana wapiga kura wote ni warostamu walishalipwa kitambo kwa hiyo akiwaambi apigieni cdm watafanya hivyo.
Unique
Na itapofika 2012 RA atamlazimisha chairman wa chama cha magamba kumpiga chini Nape otherwise ana withdraw sponsorship kwenye chama.